Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Bakuli lishaanza kutembezwa. Mlivyokuwa mnatoa viti mnasema Ubaya Ubwela[emoji23][emoji23][emoji23]Haya toeni pesa. Na Zile za Uwanja zipo wapi kwanza?
Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti [emoji23][emoji23]
NB: yawezekana hata sio makolo waliovunja viti .... maybe ni kamati maalumu[emoji23]
Ubaya uboya...
Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti [emoji23][emoji23]
NB: yawezekana hata sio makolo waliovunja viti .... maybe ni kamati maalumu[emoji23]
Ubaya uboya...