Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

Kwa upendo kwa timu yangu ya Simba SC nimefanya malipo ya pesa yote tunayodaiwa na CAF.

UCHANGISHAJI KWA MASHABIKI USITISHWE MARA MOJA.

Ref: 165c654j6657bg654 Kiasi:100,000,000 imelipwa kutoka AC 01xxxxxxxxxx76 kwenda LIPA SIMBA SPORTS CLUB. 2025-01-15 20:10
[emoji23][emoji23]
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Tumeomba wenyewe kuchangia..hatujashurutishwa.
Mimi tayari nimeshatuma.
 
Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
View attachment 3203250
[emoji23][emoji23]
 
Huu ndo ubaya ubwela wenyewe...hatushindwi na wowote...
Yanii ni tumetaka wenyewe nishachangia elfu 15 yangu chapuu..
We are Simbas Fans and we love our team...
hii kama imewauma pia kunyweni juice ya arovera..
Imewauma sana miferejini SC kwa mashabiki Bora Africa wa timu Bora kuchangia adhabu wao wenyewe.
Miferejini SC wanashangaa hii inawezekanaje,na hii itaingia kwenye vitabu vya historia na kumbukumbu katika mchezo wa soka.
Hao miferejini bila nyuma vibudu hawakusanyiki kwa lolote,na mechi kubwa kwao hua hawaingii full house wanasubiri fungulia Mbwa.
 
Imewauma sana miferejini SC kwa mashabiki Bora Africa wa timu Bora kuchangia adhabu wao wenyewe.
Miferejini SC wanashangaa hii inawezekanaje,na hii itaingia kwenye vitabu vya historia na kumbukumbu katika mchezo wa soka.
Hao miferejini bila nyuma vibudu hawakusanyiki kwa lolote,na mechi kubwa kwao hua hawaingii full house wanasubiri fungulia Mbwa.
Mashabiki wavunja viti
 
Imewauma sana miferejini SC kwa mashabiki Bora Africa wa timu Bora kuchangia adhabu wao wenyewe.
Miferejini SC wanashangaa hii inawezekanaje,na hii itaingia kwenye vitabu vya historia na kumbukumbu katika mchezo wa soka.
Hao miferejini bila nyuma vibudu hawakusanyiki kwa lolote,na mechi kubwa kwao hua hawaingii full house wanasubiri fungulia Mbwa.
Yani mijanaume kutwa kucha kuanzisha nyuzi za wivuu..
Yanii hii ni kubwa mnoo mnoo haijawahi tokea...sisi ndo Simba Fans
 
Back
Top Bottom