Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ingekuwa Yanga usingekubali kauli hiyo toka kwa mashabiki ungesema tu hela ya magodoro imekataMashabiki ndio wameuambia uongozi kwamba wanataka wawajibike kwa niaba ya wenzao wachache waliofanya ushamba
Ningekuwa fair. Kama ningekuwa nimemsikia shabiki wa Yanga amesema mapema kabla ya uongozi, nisingesema hivyo hivyo kama ilivyoIla ingekuwa Yanga usingekubali kauli hiyo toka kwa mashabiki ungesema tu hela ya magodoro imekata
Mweeee!Huu ndo ubaya ubwela wenyewe...hatushindwi na wowote...
Yanii ni tumetaka wenyewe nishachangia elfu 15 yangu chapuu..
We are Simbas Fans and we love our team...
hii kama imewauma pia kunyweni juice ya arovera..
Sasa zile unaita pesa ndugu yangu? Pesa ikidondoka inatoa milio?😂😂😂😂🤣🤣🤣 kumbe walikua wanatamani mno zile pesa walizokua wanadondoshewa wachezaji wa Yanga uwanjani.
Ubaya ukabwela
Sasa zile unaita pesa ndugu yangu? Pesa ikidondoka inatoa milio?
Pesa hata ATM haizitambuiZile ni pesa sabuni ya roho ikitoa mlio inazidi kunogesha tukio husika
Mashabiki wafanye vurugu halafu tajiri alipe faini?Tajiri wao kagoma kuwachangia hadi wanatembeza bakuli