Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka ana utajiri wa trilioni 4, halafu urudi tena kwenye keyboard 🤣Walimuuliza Mwekezaji tunafanyaje? Akawajibu upuuzi huo yeye afanyi, klabu iwajibike.😄😄
100,0000,000 bila hiyo buku inabakia 99,999,000 na CAF hawatatusameee mpka senti ya mwisho. Ngoja nitume tu ili hiyo buku pungufu itangulie wakati wengine wanajazia.Achana nayo mkuu...buku Yann sasa
Ndogo hiyo mkuu....unaweza Kuta kumbe ndo wanayanga waliovunja[emoji23][emoji23]
Mimi dada yako ujueee...sema tu umechagua mtimu mbovuJapo sio muhimu ( Hela ya nyambala inakua na conditions kadhaa[emoji23][emoji23])
Yani huyo anataka niuze mpk maini...wkt Simba yenyewe haina shida kihivyoo ndio maana wameweka muda wa kuchangia na sio lazima kiasi kifikiwe..ukifika muda uliowekwa iwe ni milioni 5 au 10 au 50 basi wanafunga....Kwamba Kalpana auze figo.m..achangie kolo fc[emoji23]🥱
Hatubishani wasiofuzu mpk sasa kwny mashindano yoyote yale...