Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

#MICHEZO: Meneja wa habari na mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema amepokea maoni ya Wanasimba waliotoa maoni namna ya kuiichangia Klabu hiyo ili iweze kulipa faini kiasi cha dola 40,000 sawa na mil. 101Tsh kutokana na Vurugu zilizofanyika mchezo dhidi ya CS Sfaxien!

Kupitia mitandao yake ya kijamii Ahmed Amechapisha ujumbe unaosema;

“Tumekuja na kampeni ambayo hii imeombwa na mashabiki wenyewe wakitaka kuwajibika baada ya kufanya makosa yale. Tumewaletea mfumo wa kuchangia ili kitakachopatikana twende tukalipe faini. Kampeni hiyo tumeipa jina la TUNAWAJIBIKA PAMOJA” – Ahmed Ally

UNAWAJIBIKA PAMOJA na Simba Ukiwa wapi?

#Michezo #Hainakuchoka #EastAfricaTV @nickymeena_
 
Vizuri.
Huko mbeleni ikiwezekana Tuwe na database ya tiketi, itasaidia kuwatambua mashabiki wanaoisapoti Simba na wale wanaoingia kwa mgongo wa ushabiki kumbe waharibifu watatambuliwa na kupigwa ban ya kutazama mechi za Simba au anunue Ban yake kwa bei mara mbili ya uharibifu aliofanya.
#BAKULIUBAYAUBWELA.
Miaka ya mbele sana
 
Huu ndo ubaya ubwela wenyewe...hatushindwi na wowote...
Yanii ni tumetaka wenyewe nishachangia elfu 15 yangu chapuu..
We are Simbas Fans and we love our team...
hii kama imewauma pia kunyweni juice ya arovera..
 
Haisumbui kabisa, buku buku wakichangia watu laki moja tu tunapata na chenji. Kwani hukumbuki lile shindano la Nani Zaidi la Azam Media la uchangiaji wa mashabiki tulivyowakimbiza utopolo hadi wakajitoa na kusema Azam Media wana nia ya kuwadhalilisha? [emoji23][emoji23][emoji23]
Lkn zile pesa mlisema mtajenga kiwanja.....


Ebu tupen updates .....
 
Lkn zile pesa mlisema mtajenga kiwanja.....
Ebu tupen updates .....
Zilijenga uzio wote wa uwanja wetu wa mazoezi Bunju (nasisitiza uwanja wetu, sio wa kukodi kwa anayejiita mdhamini huku akijilipa Kodi ya pango kupitia mfanyakazi wake aliyempa uongozi wa juu)
 
Bakuli lishaanza kutembezwa. Mlivyokuwa mnatoa viti mnasema Ubaya Ubwela[emoji23][emoji23][emoji23]Haya toeni pesa. Na Zile za Uwanja zipo wapi kwanza?

Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti [emoji23][emoji23]

NB: yawezekana hata sio makolo waliovunja viti .... maybe ni kamati maalumu[emoji23]

Ubaya uboya...View attachment 3202569
Simba wako vizuri sana

Qualified

Fined and paying
 
Zilijenga uzio wote wa uwanja wetu wa mazoezi Bunju (nasisitiza uwanja wetu, sio wa kukodi kwa anayejiita mdhamini huku akijilipa Kodi ya pango kupitia mfanyakazi wake aliyempa uongozi wa juu)
Hahaaa mlipigwa mkuu
 
Hii mara ya pili mashabiki wa simba kung`oa viti
sijui wana shida gan na viti!kuna siku hawa watakuja chimba uwanja.
 
Million 100 sio ndogo
Ziliwahi kufika Kwa siku chache Sana

1000011975.jpg
 
Back
Top Bottom