Majukumu ni mengi kuendesha timu ya mpira wa soka la wataalamu tofauti na bendi ya muziki ama timu za ndondo cupTajiri wao kagoma kuwachangia hadi wanatembeza bakuli
Mashabiki ndio wameuambia uongozi kwamba wanataka wawajibike kwa niaba ya wenzao wachache waliofanya ushambaTajiri wao kagoma kuwachangia hadi wanatembeza bakuli
Sawa mwanetu π π π π π π π hayaa ichangie klabu yako sasaMashabiki ndio wameuambia uongozi kwamba wanataka wawajibike kwa niaba ya wenzao wachache waliofanya ushamba
Ndio nimeiona hii habari ya bakuli hapa, ingawa wito na nia ya kuchangia vilishaanza kutolewa kwa uongozi kutoka kwa mashabiki tangu jana. Nitafute account nichangieSawa mwanetu π π π π π π π hayaa ichangie klabu yako sasa
Mwamedi ni masikini sana, bibarua wake anawalipa 3,000 Kwa simu. Tajiri anaona aibu kampuni Yake ikowa inapunja watu mishaharaTajiri wao kagoma kuwachangia hadi wanatembeza bakuli
Sema live mkuu....unakuta una mtu una mlipa 30milion per month.......Majukumu ni mengi kuendesha timu ya mpira wa soka la wataalamu tofauti na bendi ya muziki ama timu za ndondo cup
To manage a football club that has professional players is not an easy task
Umefanya la maana mkuu.... Kwaajili yako na Mimi naenda kuchangiaHuu ndo ubaya ubwela wenyewe...hatushindwi na wowote...
Yanii ni tumetaka wenyewe nishachangia elfu 15 yangu chapuu..
We are Simbas Fans and we love our team...
hii kama imewauma pia kunyweni juice ya arovera..
π πUmefanya la maana mkuu.... Kwaajili yako na Mimi naenda kuchangia
Million 3 = 3,000,000/ Tz
Kumbe hujawahi hudhuria vikao vya shule.....Mashabiki ndio wameuambia uongozi kwamba wanataka wawajibike kwa niaba ya wenzao wachache waliofanya ushamba
Million 100 sio ndogoHuu ndo ubaya ubwela wenyewe...hatushindwi na wowote...
Yanii ni tumetaka wenyewe nishachangia elfu 15 yangu chapuu..
We are Simbas Fans and we love our team...
hii kama imewauma pia kunyweni juice ya arovera..