Umeumia sana simba kupiga hatua na Mo kutoa bilion 2 ambazo nyie misukule bosi wenu amedhamini ligi hata uwanja wa mazoez hamnaHii nchi ni raha sana hasa ukipata makolo mazezeta ya kuyaongoza, na utapata pesa nyingi kupitia wao
Changamoto unapoichukulia kuwa fursaYote hiyo ni sababu watoto wa Barbara wamezuiwa kuingia VViP....hehehe
Ndivyo ilivyo?Wakuu tukiacha siasa za maji taka za Usimba na Uyanga. Nataka nichangie huu mjadala kwa namna tofauti, kwa namna ambayo nitaiweka kidogo kisomi na hapa naomba tuache ushabiki.
1. Simba ni kampuni ambayo iko na 2 shareholders, MO and Members on the other hand. Kwa mtiririko huohuo shareholders wako na share 49% na 51% respectively.
Kama ndio hivyo basi SIMBA SC ni Mali ya MO na WANACHAMA kwa upande mwingine. Hata hivyo kama SIMBA ni kampuni na hao ni wabia wake, haitakiwi mbia achangie kiasi fulani katika ujenzi wa ASSETS za Klabu kwa sababu shabiki akichangia ina maana unamwongezea MTAJI MMILIKI.
2. Ilitakiwa ifanyike analysis nzima juu ya gharama za ujenzi kisha gharama zile zigawanywe kwa uzito sawa na SHARES yaani kama ujenzi ni BIL 20 basi MO atapaswa kutoa Bil 9.8 na WANACHAMA Bil 10.2. Yes ni kampuni hivyo Mo hapaswi kusema watu wachangie wakati yeye ni mwanahisa na anapata INCOME through hiyo kampuni. Kwanini aombe michango wakati kampuni ni yake kwa 49%?.
3. Watanzania wenzangu, kabla ya kurukia kitu lazima mkae chini na mtafakari kwa kina juu ya masuala haya. MO anawakosea sana Simba, na always yy hujifanya kama anasaidia lkn ukweli ni kwamba yeye ni Mwanahisa kwanini atake mashabiki wamchangie? Kama ndio hivyo basi ajitoe kuwa mmoja wa wamiliki ili watu wachangie wakijua yeyote anaweza kuwa kiongozi wa SIMBA.
4. Rai yangu kwa wapenda michezo, haki na wapenzi wa hii klabu kupaza sauti na kugundua UTAPELI wa wazi anaofanya huyu MO DEWJI.
KWA UCHACHE NAWASILISHA.
NB. Kama uelewa wako kuhusu umiliki wa makampuni ni FINYU usiquote huu mchango.
Mm naumia mazezeta kila siku kufanyiwa tricky za kitoto kabisa na WahindiUmeumia sana simba kupiga hatua na Mo kutoa bilion 2 ambazo nyie misukule bosi wenu amedhamini ligi hata uwanja wa mazoez hamna
Kwani huo uwanja alio ahidi bado?Uyo bosi wenu aliwaambiaje wakati mnamkabidhi timu kuhusu uwanja
Vipi ww umepona uzezeta kwa mganga gani na uyo samjo samjo wenu?Mm naumia mazezeta kila siku kufanyiwa tricky za kitoto kabisa na Wahindi
Vibaraka wote wa wahindi huwa wanakuwa ni mazezeta na wala huwa sipati nao shida kabisa
Kiroho kinakuumae!Daa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Kablasha = kabrashaKwani kablasha la makubaliano ya uwekezaji kati yenu na uyo mhindi juu ya ujenzi wa uwanja linasemaje tuanzie apo kwanza kabla atujarukia mambo mengine
Utopolo mmeshatia timu.Tatizo Simba hatuna uzoefu wa kuchangia, walituaminisha club ya matajiri iweje mtuletee bakuli. Sisi furaha tu mambo ya mchango toeni ninyi.
Bilioni mbili km zile za yule jamaa anaetaka kudhamini ligi yote.Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.
Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.
View attachment 2042471
siyo kama huyo wenu anahonga TFF mil 2 wagaweni halafu mkataba usijadiliwe,huwezi kumfananisha Mo na anayedhamini ligi kwa mil 10Daa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Watakupiga mawe barabara...BAKHRESA hakuhitaji michango na alifanya kimyakimya.
Bakhresa si Mo na Mo hatakuwa Bakhresa.BAKHRESA hakuhitaji michango na alifanya kimyakimya.