Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Jamaa mjanja Sana, kasha wakimbia tayari. Yaani uwanja wa watu 30, 000/= unao karibia thamani ya 40 bilion unachangia 2 bilion kweli?
Jamaa mchoyo Kama Mimi huyu

Sasa afadhali Mimi fukara
 
Ndio maana nimesema kabla ya yeye kutoa hizo bil 2, ilipaswa kufanyika analysis juu ya gharama ili kila upande utoe pesa kwa % stahiki.
Shida yako ni ujuaji , Ila Mo kasema bodi ikae wajadili waone jinsi ya Kufanya.

Shida hapa hatujui kuhusu Mo km mwekezaji anapaswa kufanya nini ktk maendeleo ya timu.

Hapa mm na wewe hatujui mkataba wa Mo na Simba unaeleza nini kuhusu maendeleo ya klabu.

Hoja yangu ni kuhusu wanaofananisha Uwekezaji wa Mo pale Simba,Hii ni kitu tofauti na Bakhresa pale Azam.

Tujiulize kwann Mo anatamka HELA wakati analsis haijafanyika,au anachangia km shabiki au ni vipi. Hii ndiyo hoja yangu.

Tuwaachie Simba wao ndiyo wanajua Mo anatakiwa kufanya nini Kama mwekezaji kwa mujibu wa mkataba.

Narudia hatujui terms za mkataba zinasemaje wewe na mimi.

Mara nyingi wajuaji huwa na dharau na matusi wakiamini wanajua kila kitu na wengine hawajui.
 
Ni wazo zuri la Magori na Mo.

Tutakuwa tunaingia uwanjani na wanetu ili tuwafunze kuipenda Simba.

Nashauri Simba ichukue mkopo Equit Bank - Bilion 40 zinatosha. Vibarua wa ujenzi wawe ni sisi wanachama wa Simba, akiwemo Haji Manara.

Mimi naahidi kutoa 200,000
 
Shida yako ni ujuaji , Ila Mo kasema bodi ikae wajadili waone jinsi ya Kufanya.

Shida hapa hatujui kuhusu Mo km mwekezaji anapaswa kufanya nini ktk maendeleo ya timu...
Sasa kama ameomba bodi ikae yy alitokaje kuchangia bila kujua gharama? Huoni kama MO ni fix?? Utachangiaje kitu unachomiliki? Unamdanganya nani??
 
Wewe ni kilaza, pitia hoja zako zote kila uelimishwapo kuhusu SIMBA unajaza mafua kichwani. SIKIA MO NI MMILIKI HALALI WA SIMBA KWA 49% na WANACHAMA WANAMILIKI 51%...
nani asiyejua hayo?

Tuambie Mo kwa mujibu wa mkataba anatakiwa kufanya nini ktk ujenzi wa huo uwanja.

Usiniletee elimu za kwenye kitabu ulizokariri.
 
1639393750183.png
 
Sasa kama ameomba bodi ikae yy alitokaje kuchangia bila kujua gharama? Huoni kama MO ni fix?? Utachangiaje kitu unachomiliki? Unamdanganya nani??
hiyo ndiyo hoja yangu. Ndiyo maana mm kwa tafsiri yangu ametoa km shabiki.

''Naahidi kuchangia bilioni 2" Hii Ni ahadi. Mchango wake wa hiari.

Hatujui walichosaini simba na Mo.
 
nani asiyejua hayo?

Tuambie Mo kwa mujibu wa mkataba anatakiwa kufanya nini ktk ujenzi wa huo uwanja.

Usiniletee elimu za kwenye kitabu ulizokariri.
Naona kwa mbali unaanza kuelewa. Iko hivi mkataba wowote una VOID ikiwa uko nje ya sheria mama (Company act) kwa vyovyote vile gharama za ujenzi wa UWANJA lazima ziendane sawa na kiwango cha uwekazaji.

Hakuna shortcut kwenye kuongoza hizi kampuni mkuu. Mo arudi tena akae na wanahisa wenzake (WANACHAMA) watafute VALUER wajue gharama nzima ya ujenzi kisha kila upande uchangie kulingana na HISA ZAKE.

Kubwa zaidi upande wa wanachama ndio ulipaswa utoke uombe wanachama wake kuchangia maana ndio upande wao ma sio MO aombe watu wachangie akijua wazi ni JUKUMU lake kutoa 49% ya gharama.
 
Uyu jamaa mbabaishaji TU,

Anaitumia Simba kwa manufaa yake binafsi,
pesa yake ngumu Sana kuitoa kwa ajili ya Simba.
 
Kwanini umeondoa makanisa?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Hizo ni NON PROFIT ORIENTED FIRMS (HAZIKO KUPATA FAIDA) hivyo uendeshaji wake ni kupitia michango na wahisani. Tofauti na SIMBA ambayo ni kampuni ambayo ipo kibiashara na faida, hivyo hawawezi kuomba wachangiwe wakati kuna walioweka mitaji yao hapo. Nahisi nimekuelewesha sasa.
 
Back
Top Bottom