Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

hiyo ndiyo hoja yangu. Ndiyo maana mm kwa tafsiri yangu ametoa km shabiki.

''Naahidi kuchangia bilioni 2" Hii Ni ahadi. Mchango wake wa hiari.

Hatujui walichosaini simba na Mo.
Amekosea sana. Kuomba watu wachangie wakati wewe umeweka mtaji wako ni WIZI maana yake unataka watu wakuongezee mtaji. Yeye akitoa pesa SIMBA inaingia as a CAPITAL.
Watu wanapaswa kuelimishwa sana ili wajue kuwa MO anatumia udhaifu wa WATZ wa kutoelewa masuala ya kifedha. ANAPASWA KUOMBA RADHI KWA KUDHAMIRIA KUWAIBIA WATU. Alipaswa kuja na Mkataba wa ujenzi na gharama na yeye kwa upande wake ameshatoa % zake na upande wa wanachama wahangaike kutoa chao.

UNAWEZA KUCHANGIA PESA KWENYE BIASHARA ISIYO YAKO???
 
Ndio maana nimesema kabla ya yeye kutoa hizo bil 2, ilipaswa kufanyika analysis juu ya gharama ili kila upande utoe pesa kwa % stahiki.
Mzee, huu ni mchango, sio hela ya uwekezaji. Baada ya zoezi la kuchanga hela zinaweza zikakidhi mahitaji na kubaki au zinaweza zikapungua ikaitishwa awamu ya pili. Yaani hata msibani utataka uwekewe % ya kuchangia kwa kadiri ulivyomjua marehemu?
 
2. Ilitakiwa ifanyike analysis nzima juu ya gharama za ujenzi kisha gharama zile zigawanywe kwa uzito sawa na SHARES yaani kama ujenzi ni BIL 20 basi MO atapaswa kutoa Bil 9.8 na WANACHAMA Bil 10.2. Yes ni kampuni hivyo Mo hapaswi kusema watu wachangie wakati yeye ni mwanahisa na anapata INCOME through hiyo kampuni si sahihi. Kwanini aombe michango wakati kampuni ni yake kwa 49%?.
Mkuu, harambee haihitaji analysis, ni sehemu ya gharama halisi. Kuna ubaya gani zikawa zinachangwa huku analysis ikawa inaendelea? Unadhani mwenyekiti wa wakati ule, Hassan Dalali, angesema asubiri analysis ndio atafute kiwanja, hapo Bunju pangekuwa panamsubiri yeye tu? Acheni mawazo mgando, ninyi ndio mnaotaka michakato inayokuja kuchelewesha mambo. Mchango wakati watu wana mzuka huwa unatembea kwa kasi nzuri zaidi
 
Timu inapata hasara kila mwaka halafu eti ndio wajenge uwanja wa mabilioni ya fedha. Dewji aache usanii, hawana hela ya kujenga uwanja.

Walishindwa kujenga wakati wakiwa na wachezaji wa ridhaa leo ndio waweze wakati wana wachezaji wanaolipwa mamilioni kwa mwezi. It's a fantasy.
 
Bosi janja janja kachangia bilioni 2 kujenga uwanja wa bilioni 40, aya wanachama tafuteni bilioni 38 msifikiri anawajengea uwanja sijui aliwahaidi nini wakati ananunua hisa, keshapata kamserereko ka wanachama kuchangia amechangamkia fursa
Ni kawaida ya watu kama wewe malofa muda wote uwa mna mawazo hasi tu,tafuta hela wewe kiti cha moto!kinyeo icho kitaota sugu kwa kushupalia mambo ya wanaume
 
Daa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Utopolo inawauma utadhani na wao watachangia.
Wamesahahu lile bakuli walikuwa wanalitembeza kuwa lilipigwa na wachache bila wenyewe kujua.
 
Mkuu, harambee haihitaji analysis, ni sehemu ya gharama halisi. Kuna ubaya gani zikawa zinachangwa huku analysis ikawa inaendelea? Unadhani mwenyekiti wa wakati ule, Hassan Dalali, angesema asubiri analysis ndio atafute kiwanja, hapo Bunju pangekuwa panamsubiri yeye tu? Acheni mawazo mgando, ninyi ndio mnaotaka michakato inayokuja kuchelewesha mambo. Mchango wakati watu wana mzuka huwa unatembea kwa kasi nzuri zaidi
Yaan ufanye harambee kumchangia mtu biashara yake???
 
Yaan ufanye harambee kumchangia mtu biashara yake???
Hakuna shida, ukizingatia ninamiliki biashara kwa sehemu kubwa kuliko yeye; au kwa lugha rahisi hiyo biashara inanigusa mimi zaidi yake
 
Jamaa mjanja Sana, kasha wakimbia tayari. Yaani uwanja wa watu 30, 000/= unao karibia thamani ya 40 bilion unachangia 2 bilion kweli?
kumbuka aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na mwanachama wa Simba, Paul Makonda, aliichangia Yanga kiwanja (eneo). Kwa lugha hii nadhani ulitaka asichangie eneo tu la kujenga, bali awakabidhi kabisa stadium
 
Hakuna shida, ukizingatia ninamiliki biashara kwa sehemu kubwa kuliko yeye; au kwa lugha rahisi hiyo biashara inanigusa mimi zaidi yake
Mkuu yaan wewe simba ikuguse zaidi ya MO? aisee tuishie hapa.
 
kumbuka aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na mwanachama wa Simba, Paul Makonda, aliichangia Yanga kiwanja (eneo). Kwa lugha hii nadhani ulitaka asichangie eneo tu la kujenga, bali awakabidhi kabisa stadium
Mkuu Simba ni kampuni na iko kwa ajili ya kupata FAIDA. Sio sawa na Yanga ambayo bado si kampuni na iko zaidi kupata ziada na sio FAIDA.
 
Sawa, tuishie hapo na usiweke post nyingine
[emoji706][emoji706]
20211209_150849.jpg
 
Back
Top Bottom