Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Sio kosa lako mkuu ila ni kosa la umalaya wa Mama yako mzazi aliyekuzaa nje ya ndoa na mtoto wake ukawa chokoWhat a waste sperm [emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kosa lako mkuu ila ni kosa la umalaya wa Mama yako mzazi aliyekuzaa nje ya ndoa na mtoto wake ukawa chokoWhat a waste sperm [emoji24][emoji24]
Hata hivyo sio kosa lako mkuu na siwezi kudeal na ww ila ni kosa la umalaya wa Mama yako aliyekuzaa nje ya ndoa na mtoto ukawa chokoTafuta hela wewe kitimoto,kinyeo icho utakiharibu kwa kutaka kujua kila kitu cha wanaume
Eti wananyanyaswa mno kisa barbara kasusa kuingia uwanjani.Yote hiyo ni sababu watoto wa Barbara wamezuiwa kuingia VViP....hehehe
Acha wivu.Daa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Uache wivu uende zake.Eti wananyanyaswa mno kisa barbara kasusa kuingia uwanjani.
Kweli ukiwa shabiki kuna muda huwa zinafyatuka aisee😀😀
Roho yako safi.Unaenda mbinguni.Bakhresa anamiliki timu kama mali yake...Simba ni timu ya wanachama so wanachama wana wajibu wa kuwajibika kuleta maendeleo kwenye timu yao
Mbinguni unaenda zako bila shida.Roho yako ipo very clean!Nguvu moja
Ilibaki kidogo uende mbinguni.Neno "eti" limeharibu.Eti nachangia billion 2!
Na mm kwa kutambua mchango wa kuwa na uwanja wetu binafsi kama timu kubwa barani Afrika, naanza kuchangia Milioni Moja
Nayo imekuwa ni hoja ya kuchangia kuanzishwa ujenzi.Na ukumbuke:Utatumiwa na wanamichezo wote.Hata mimi ukitaka uzijue hasira zangu,mchokoze mama yangu au muonee mke wangu.ujenzi wa uwanja ni jambo jema ila penye ukakasi ni sababu ya kujenga huo uwanja,
yani mnajenga uwanja kwasababu Babra amenyimwa kuingia na watoto wake kwenye jukwaa la VVIP 🤣 🤣 🤣
Yani mnaamini baada ya kujenga huo uwanja wenu, hamtacheza tena mechi kwa Mkapa????
Daa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Hii ndo elimu saaa. Wanachama na mashabiki kuweni makini na hoja ilotolewa hapa.Wakuu tukiacha siasa za maji taka za Usimba na Uyanga. Nataka nichangie huu mjadala kwa namna tofauti, kwa namna ambayo nitaiweka kidogo kisomi na hapa naomba tuache ushabiki.
1. Simba ni kampuni ambayo iko na 2 shareholders, MO and Members on the other hand. Kwa mtiririko huohuo shareholders wako na share 49% na 51% respectively.
Kama ndio hivyo basi SIMBA SC ni Mali ya MO na WANACHAMA kwa upande mwingine. Hata hivyo kama SIMBA ni kampuni na hao ni wabia wake, haitakiwi shabiki achangie kiasi fulani katika ujenzi wa ASSETS za Klabu kwa sababu shabiki akichangia ina maana unamwongezea MTAJI MMILIKI.
2. Ilitakiwa ifanyike analysis nzima juu ya gharama za ujenzi kisha gharama zile zigawanywe kwa uzito sawa na SHARES yaani kama ujenzi ni BIL 20 basi MO atapaswa kutoa Bil 9.8 na WANACHAMA Bil 10.2. Yes ni kampuni hivyo Mo hapaswi kusema watu wachangie wakati yeye ni mwanahisa na anapata INCOME through hiyo kampuni si sahihi. Kwanini aombe michango wakati kampuni ni yake kwa 49%?.
3. Watanzania wenzangu, kabla ya kurukia kitu lazima mkae chini na mtafakari kwa kina juu ya masuala haya. MO anawakosea sana Simba, na always yy hujifanya kama anasaidia lkn ukweli ni kwamba yeye ni Mwanahisa kwanini atake mashabiki wamchangie? Kama ndio hivyo basi ajitoe kuwa mmoja wa wamiliki ili watu wachangie wakijua yeyote anaweza kuwa kiongozi wa SIMBA.
4. Rai yangu kwa wapenda michezo, haki na wapenzi wa hii klabu kupaza sauti na kugundua UTAPELI wa wazi anaofanya huyu MO DEWJI.
KWA UCHACHE NAWASILISHA.
NB. Kama uelewa wako kuhusu umiliki wa makampuni ni FINYU usiquote huu mchango.
Sina wivu mkuu. Ila mashabiki wanapelekwa kwa hisia zaidi. Na kuna uwezekano mkubwa hilo suala lilipangwa kabla.Uache wivu uende zake.
Una akili ya kulia chakura tu, yaani ni afadhali ya kukuDaa huyu Mhindi mjanja kweli kweli, makolo manajichanga alafu siku ya mwisho uwanja unakuwa mali Mhindi
Da bonge la shule mkuu,hii ni factWakuu tukiacha siasa za maji taka za Usimba na Uyanga. Nataka nichangie huu mjadala kwa namna tofauti, kwa namna ambayo nitaiweka kidogo kisomi na hapa naomba tuache ushabiki.
1. Simba ni kampuni ambayo iko na 2 shareholders, MO and Members on the other hand. Kwa mtiririko huohuo shareholders wako na share 49% na 51% respectively.
Kama ndio hivyo basi SIMBA SC ni Mali ya MO na WANACHAMA kwa upande mwingine. Hata hivyo kama SIMBA ni kampuni na hao ni wabia wake, haitakiwi shabiki achangie kiasi fulani katika ujenzi wa ASSETS za Klabu kwa sababu shabiki akichangia ina maana unamwongezea MTAJI MMILIKI.
2. Ilitakiwa ifanyike analysis nzima juu ya gharama za ujenzi kisha gharama zile zigawanywe kwa uzito sawa na SHARES yaani kama ujenzi ni BIL 20 basi MO atapaswa kutoa Bil 9.8 na WANACHAMA Bil 10.2. Yes ni kampuni hivyo Mo hapaswi kusema watu wachangie wakati yeye ni mwanahisa na anapata INCOME through hiyo kampuni si sahihi. Kwanini aombe michango wakati kampuni ni yake kwa 49%?.
3. Watanzania wenzangu, kabla ya kurukia kitu lazima mkae chini na mtafakari kwa kina juu ya masuala haya. MO anawakosea sana Simba, na always yy hujifanya kama anasaidia lkn ukweli ni kwamba yeye ni Mwanahisa kwanini atake mashabiki wamchangie? Kama ndio hivyo basi ajitoe kuwa mmoja wa wamiliki ili watu wachangie wakijua yeyote anaweza kuwa kiongozi wa SIMBA.
4. Rai yangu kwa wapenda michezo, haki na wapenzi wa hii klabu kupaza sauti na kugundua UTAPELI wa wazi anaofanya huyu MO DEWJI.
KWA UCHACHE NAWASILISHA.
NB. Kama uelewa wako kuhusu umiliki wa makampuni ni FINYU usiquote huu mchango.
Hili jambo halihusiani na HISA,Hili ni la watu,Wanachama na Mashabiki kwa Mapenzi yao kwa Simba SC.Wakuu tukiacha siasa za maji taka za Usimba na Uyanga. Nataka nichangie huu mjadala kwa namna tofauti, kwa namna ambayo nitaiweka kidogo kisomi na hapa naomba tuache ushabiki.
1. Simba ni kampuni ambayo iko na 2 shareholders, MO and Members on the other hand. Kwa mtiririko huohuo shareholders wako na share 49% na 51% respectively.
Kama ndio hivyo basi SIMBA SC ni Mali ya MO na WANACHAMA kwa upande mwingine. Hata hivyo kama SIMBA ni kampuni na hao ni wabia wake, haitakiwi shabiki achangie kiasi fulani katika ujenzi wa ASSETS za Klabu kwa sababu shabiki akichangia ina maana unamwongezea MTAJI MMILIKI.
2. Ilitakiwa ifanyike analysis nzima juu ya gharama za ujenzi kisha gharama zile zigawanywe kwa uzito sawa na SHARES yaani kama ujenzi ni BIL 20 basi MO atapaswa kutoa Bil 9.8 na WANACHAMA Bil 10.2. Yes ni kampuni hivyo Mo hapaswi kusema watu wachangie wakati yeye ni mwanahisa na anapata INCOME through hiyo kampuni si sahihi. Kwanini aombe michango wakati kampuni ni yake kwa 49%?.
3. Watanzania wenzangu, kabla ya kurukia kitu lazima mkae chini na mtafakari kwa kina juu ya masuala haya. MO anawakosea sana Simba, na always yy hujifanya kama anasaidia lkn ukweli ni kwamba yeye ni Mwanahisa kwanini atake mashabiki wamchangie? Kama ndio hivyo basi ajitoe kuwa mmoja wa wamiliki ili watu wachangie wakijua yeyote anaweza kuwa kiongozi wa SIMBA.
4. Rai yangu kwa wapenda michezo, haki na wapenzi wa hii klabu kupaza sauti na kugundua UTAPELI wa wazi anaofanya huyu MO DEWJI.
KWA UCHACHE NAWASILISHA.
NB. Kama uelewa wako kuhusu umiliki wa makampuni ni FINYU usiquote huu mchango.
Na uwanja ukikamilika aupige mabango ya Mo Drink na Mo energy.Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.
Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.
View attachment 2042471
Rudi shule we bado ni mtoto. Huna uelewa wowote kuhusu umiliki wa kampuni. Mtatapeliwa sana kwa ubishi wa kitoto kama wako.Hili jambo halihusiani na HISA,Hili ni la watu,Wanachama na Mashabiki kwa Mapenzi yao kwa Simba SC.