Hapana mkuu, hiyo inamaanisha FOCAL LAND, kisiwa kiko huko Argentina, niliwahi fika nikapapenda.Phoko wa Galaxy ni pacha wako
Upigwe miti sasaDaaah ya milele hapana mkuu....mtakosa madini humu ndani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Uchochezi huu🤣Kwa mstakabari na usalama wa JF Moderator wazingatie takwa la huu uzi kama ulivyokuja. NAKAZIA
Karibu tena hukuHapana mkuu, hiyo inamaanisha FOCAL LAND, kisiwa kiko huko Argentina, niliwahi fika nikapapenda.
T&C kuzingatiwaUchochezi huu🤣
Hakuna uchochezi hata Active anaonaUchochezi huu🤣
Wao wanapaita FalkLandPhoko wa Galaxy ni pacha wako
Ilikuwa kitambo sanaKaribu tena huku
Bila shaka ndo huyu huyu best. 😂Tumekamata mod makolo😂😂😂😂
Halafu huyu huyu ndie anayetubaniaga updates kwenye nyuzi za Yanga
Mnatoaga wapi ujasiri wa kubet kijinga kijinga hivyo? Ban inakuhusu maana yameshapiga mtu goli 3 na yana njaa balaa!Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Unaonaje tukaanza petition ya kukuombea msamaha kwa JamiiForums kwamba uliteleza tu?Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
HahahahahaSawa.
Michosho tu,, em pika ugali uleModerator ....naomba uzwi huu ufutwe ....kwani simu yangu alikuwa anachezea mtoto ......nahisi ndiye aliyepost haya .....
Mimi mwenyewe nmeshtuka[emoji32][emoji32][emoji22][emoji22]kuona hii thread ...
Mimi ni nani nimpinge mnyama[emoji250][emoji250] akiwa kimataifa [emoji32]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Woiyeeeee 🤣🤣Sawa.
Acha ukuda, hujui utani au nawe ni kolo?Sawa.
Itaweka nidhamu ya kutoropoka ropoka hovyo, atimiziwe alichokiomba kwa hiyari yake mwenyewe.Sawa.