Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Mnatoaga wapi ujasiri wa kubet kijinga kijinga hivyo? Ban inakuhusu maana yameshapiga mtu goli 3 na yana njaa balaa!
 
Unaonaje tukaanza petition ya kukuombea msamaha kwa JamiiForums kwamba uliteleza tu?
 
Michosho tu,, em pika ugali ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…