Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Kuongoza kundi sio kitu ni kawaida kaka,cha ajabu Al ahly akafika fainal simba akaishia robo.
Ila tuongee kimpira Simba angekua na Al ahly na Belouzdad kwa wakati mmoja weeeh kutoboa sio rahisi.
Hiyo medeama yenyewe inaupiga mwingi kiufupi Yanga ilipangiwa kundi gumu sana msimu huu.
Simba hata apangiwe madrid kufika robo ni lazima, niambie ni lini aliingia makundi akashindwa fika robo? Au siku zote anapangiwa timu dhaifu?
 
Simba hata apangiwe madrid kufika robo ni lazima, niambie ni lini aliingia makundi akashindwa fika robo? Au siku zote anapangiwa timu dhaifu?
Doh! Kaka punguza ushabiki maandazi.
Fuatilia kuanzia 2018 mpaka sasa hayo makundi aliyoshiriki simba kesha tizama na kundi la sasa la Yanga kuna watu wawili waliokua na viwango na rank kubwa CAF CRB Al ahly.
Pia medeama sio kama asec mimosa.
 
Doh! Kaka punguza ushabiki maandazi.
Fuatilia kuanzia 2018 mpaka sasa hayo makundi aliyoshiriki simba kesha tizama na kundi la sasa la Yanga kuna watu wawili waliokua na viwango na rank kubwa CAF CRB Al ahly.
Pia medeama sio kama asec mimosa.
Hivi hiyo CRB ilishawahi ifikia AS VITA ikiwa kwenye ubora wake?
 
Sema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.

Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
Haya mambo huwa yanawaingia wachezaji na ujinga huwakaa kirahisi wanaenda kucheza upumbavu tu kwa kudharau na wanakosa matokeo
 
Hivi hiyo CRB ilishawahi ifikia AS VITA ikiwa kwenye ubora wake?
We ulikutana na AS vita iliochakaa kama Yanga Confederation alivyokutana na TP mazembe iliyochakaa.
Ila CR belouzdad unamzungumzia mtu ambaye 85% ana consistency muda mwingi.
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Mm nikajua utaolewa na Manara a Master of loose balls
 
Subiria ban 3-0 huko hivi ulisema Galaxy akiifunga Simba upigwe ban?
 
Back
Top Bottom