Simba hata apangiwe madrid kufika robo ni lazima, niambie ni lini aliingia makundi akashindwa fika robo? Au siku zote anapangiwa timu dhaifu?Kuongoza kundi sio kitu ni kawaida kaka,cha ajabu Al ahly akafika fainal simba akaishia robo.
Ila tuongee kimpira Simba angekua na Al ahly na Belouzdad kwa wakati mmoja weeeh kutoboa sio rahisi.
Hiyo medeama yenyewe inaupiga mwingi kiufupi Yanga ilipangiwa kundi gumu sana msimu huu.
Doh! Kaka punguza ushabiki maandazi.Simba hata apangiwe madrid kufika robo ni lazima, niambie ni lini aliingia makundi akashindwa fika robo? Au siku zote anapangiwa timu dhaifu?
Makolo Lolote liwakute
Sio kwamba umwambie buzi lako smart akukande vizuri (akutombe) ili usipate mda wa kuingia ovyo jf na kukoment ujinga.
Hivi hiyo CRB ilishawahi ifikia AS VITA ikiwa kwenye ubora wake?Doh! Kaka punguza ushabiki maandazi.
Fuatilia kuanzia 2018 mpaka sasa hayo makundi aliyoshiriki simba kesha tizama na kundi la sasa la Yanga kuna watu wawili waliokua na viwango na rank kubwa CAF CRB Al ahly.
Pia medeama sio kama asec mimosa.
Haya mambo huwa yanawaingia wachezaji na ujinga huwakaa kirahisi wanaenda kucheza upumbavu tu kwa kudharau na wanakosa matokeoSema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.
Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
We ulikutana na AS vita iliochakaa kama Yanga Confederation alivyokutana na TP mazembe iliyochakaa.Hivi hiyo CRB ilishawahi ifikia AS VITA ikiwa kwenye ubora wake?
Mm nikajua utaolewa na Manara a Master of loose ballsJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Sahihi mkuu....kutoboa simba ni impossibleSimba hatoki hapo hatoki
Niko Kama Galax wanaitaji chchote I'll wapi nikobtayari kutoa Kia's Cha laki mbili kufanikisha hioo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sahihi mkuu....kutoboa simba ni impossibleSimba hatoki hapo hatoki
Niko Kama Galax wanaitaji chchote I'll wapi nikobtayari kutoa Kia's Cha laki mbili kufanikisha hioo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app