Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Wakuban kisa Simba kafungwa? Si uchizi huo?
Hapo kwenye "haiko kwenye fomu nzuri" wao wenye club yao hawataki kabisa kukubali.Sema haiko kwenye fomu nzuri ila sio ya kufungwa kwenye mechi muhimu kama hii.
Inshort Galaxy hana timu ya kuifunga Simba.
Yanga amefika level alizonazo Simba au amezidi? Kiwango cha mpira wa Yanga kwa sasa kiko juu kuliko cha Simba. Mpira unachezwa wote tunaona, tusione taabu kuusema ukweli.Kuna kipindi simba ilikuwa inaishi dunia ya pekee, ndio kipindi yanga wanaleta akina Sapong, kocha mwinyi zahera[emoji1787], wamepitia mengi kenge hizi,, wamejitafuta sana hadi kufika level aliyopo simba,,
Sasa wacha watucheke,
Inatakiwa azam naye ajitafute afike hizi level,,
Simba wake up[emoji419]
Tupo classic moja lakini perfomance ni kitu kingine,,Yanga amefika level alizonazo Simba au amezidi? Kiwango cha mpira wa Yanga kwa sasa kiko juu kuliko cha Simba. Mpira unachezwa wote tunaona, tusione taabu kuusema ukweli.
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
[emoji23][emoji23]Kuna kipindi simba ilikuwa inaishi dunia ya pekee, ndio kipindi yanga wanaleta akina Sapong, kocha mwinyi zahera[emoji1787], wamepitia mengi kenge hizi,, wamejitafuta sana hadi kufika level aliyopo simba,,
Sasa wacha watucheke,
Inatakiwa azam naye ajitafute afike hizi level,,
Simba wake up[emoji419]
KabisaYanga amefika level alizonazo Simba au amezidi? Kiwango cha mpira wa Yanga kwa sasa kiko juu kuliko cha Simba. Mpira unachezwa wote tunaona, tusione taabu kuusema ukweli.
Mbu Mbu mbuSiyo ban tu , bali uolewe kabisa na JINI makata
Hapana mkuu hili suala ni letu soteAcha kuteseka na visivyokuhusu
Thread za kisimbeJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Hahaha
Intelligence quotientHahaha
ndo nn io AIKYUU!??
Mkuu,Sawa.