Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Moderator ....naomba uzwi huu ufutwe ....kwani simu yangu alikuwa anachezea mtoto ......nahisi ndiye aliyepost haya .....

Mimi mwenyewe nmeshtuka[emoji32][emoji32][emoji22][emoji22]kuona hii thread ...

Mimi ni nani nimpinge mnyama[emoji250][emoji250] akiwa kimataifa [emoji32]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Sijakuelewa ulisema simba ikishinda upigwe miti au?
 
Moderator ....naomba uzwi huu ufutwe ....kwani simu yangu alikuwa anachezea mtoto ......nahisi ndiye aliyepost haya .....

Mimi mwenyewe nmeshtuka[emoji32][emoji32][emoji22][emoji22]kuona hii thread ...

Mimi ni nani nimpinge mnyama[emoji250][emoji250] akiwa kimataifa [emoji32]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Shabiki maandazi
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Kitengo cha ban kinasimamiwa na nani kiongozi Paw
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
We kweli kiazi wahed
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Shauri yako.
 
Back
Top Bottom