SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

SIMBA WALISAJILI CHEAP LABOUR, NI KANUNI YA WAHINDI WENGI ILI KUBANA MATUMIZI NA WAKATI HUO HUO WAKITAKA MAFANIKIO MAKUBWA NI NGUMU KUFANIKIWA!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Itodhe kusema hujui mpira we Dada..kacheze Rede
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Nini kifanyike kumbe hata wao wanalijua na ndiyo maana walitwambia tuwavumilie timu inajengwa
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Mikia SC.
8. Mazumbukuku SC.
9. Manyaunyau (mapaka) SC.
10. Manyang'au SC.
11. Miso Misondo SC.
12. Mwakarobo SC.
13. Mazombi SC.
14. Kolokhamsa SC.
15. Kolowizards SC.
16. Kinyume nyume SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Bahasha SC.
20. Ngada SC.
21. Miso Misonda SC.
22. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Wazee wa propaganda mpo kazini. Unamsifia Mukwala kisa hajacheza halafu waliocheza unawakandia.

Mnataka mumpate mchezaji kwa pesa ya supu, mkimkosa mnaenda kufanya press na kujitapa kuwa nyie ni wazee wa nongwa na kweli tunaona jinsi mlivyo na nongwa.
 
Wazee wa propaganda mpo kazini. Unamsifia Mukwala kisa hajacheza halafu waliocheza unawakandia.

Mnataka mumpate mchezaji kwa pesa ya supu, mkimkosa mnaenda kufanya press na kujitapa kuwa nyie ni wazee wa nongwa.
Sasa mukwala na mashaka nani anayo nafuu? Wote hao viwango vyao ni vya kawaida but Kuna mwenye nafuu kuliko mwenzake, mukwala angalau ameshacheza kidogo mechi za kimataifa lakini mashaka ni mchezaji wa kucheza ndondo cup!
 
Sasa mukwala na mashaka nani anayo nafuu? Wote hao viwango vyao ni vya kawaida but Kuna mwenye nafuu kuliko mwenzake, mukwala angalau ameshacheza kidogo mechi za kimataifa lakini mashaka ni mchezaji wa kucheza ndondo cup!
Hakuna anayeanza juu, hata hao unaowasifia na kuwaona bora walianzia sehemu.

Acha propaganda zako hazitakusaidia kitu.
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Upupu.
 
Hii kanuni bwana kanjibhai wa Simba aliitumia ipasavyo kwenye zoezi Zima la usajili msimu huu!
Akutaka kuumiza kichwa kusajili wachezaji Wenye profile kubwa Wala Wenye uzoefu wa michuano ya kimataifa!
Alijua kabisa wachezaji dizaini iyo gharama yake ni kubwa sana na walikuwa wametolewa macho na vilabu vyenye misuli ya kiuchumi ivyo aliamua kwenda kujitafutia cheap labour toka kwenye vilabu ambavyo ata kucheza tu hatua ya makundi shirikisho avijawai kucheza!
Alijua kabisa wale atawapata kwa Bei kitonga ili waje wampe mafanikio makubwa kwenye hatua ya mechi za kimataifa!
Lakini alisahau kwamba ukipanda bangi uwezi kuvuna mahindi ata siku Moja!
Kile tulichokiona jana kwenye mechi kati ya Simba na Ahly ahli tripoli sio kwamba kimetokea kwa bahati mbaya hapana, ni mwendelezo wa kile tulichokuwa tunakiona kwenye usajili wa Simba sisi Wenye jicho la 3!
Uzoefu na ukomavu wa mchezaji kwenye mechi kama hizi za kimataifa ni muhimu sana sana, tumeona wachezaji wengi wa Simba jana walikuwa wanakosa uzoefu na ukomavu kwenye Ile mechi, walikuwa wanacheza utafikiri wanacheza mechi ya ligi kuu au Azam federation cup!
Unamuweka benchi mukwala alafu unamuingiza Valentino mashaka akabadilishe matokeo ni kichekesho aswaa!
Alichoingia kufanya wote mliona, Jean Charles ahou, Debora Fernandez,Joshua mutale, Edwini balua ndio viungo anaotegemea kocha wampe matokeo mechi za kimataifa wakati test ndogo tu ya timu kama Ile wamepoteana mazima!
Ayo ndio matokeo ya kusajili cheap labour lazima ukubali utachokipata, unasajili wachezaji 14, wa viwango vya kawaida ukitegemea kupata return ya matokeo makubwa ni uongo!
Acha dharau Jaribu Teana kasema bil 7 imetumika,kwenye dirisha kubwa la usajili.
 
Hakuna anayeanza juu, hata hao unaowasifia na kuwaona bora walianzia sehemu.

Acha propaganda zako hazitakusaidia kitu.
Unajua maana ya propaganda wewe, hii sio propaganda ni vitu halisia na vinaonekana live, Kuna ambae akuona mechi ya jana? Simba wachezaji wengi ni wa kucheza ligi kuu na sio mechi za kimataifa!
 
Acha dharau Mangungu kasema bil 7 imetumika,kwenye dirisha kubwa la usajili.
🤣🤣🤣🤣🤣 Sio mangungu ni yule swaiba wake na kanjibhai bwana jaribu Tena ndie alisema, ni aina ya wale viongozi wasiotaka kubadilika kulingana na wakati, bado anaamini kwenye propaganda badala ya uhalisia, anadhani Mpira wa sasa ni siasa🤣🤣
 
Nyie ndio wa kuzungumza kuhusu cheap labour wakati mnanunua wachezaji kama sale za nguo Ulaya.Take three pay for two.
Kibabage,Adambwile na Kagoma mlitaka kuwasajili kwa mtungo milioni 60.. Kagoma kawekewa pesa nzuri kasepa na kukwepa huo ujinga.
Usajili wenu wote wa kuwakopa wachezaji ndio sababu Fei Toto akalalamika kula ugali na sukari.
Gongowazi na Singida Fountain Gate ndio mabingwa wa kukopa mnafungiwa kila kukicha na FIFA kwa kushindwa kulipa madeni.
Kagoma mnamganda wa nini kama ni mchezaji wa bei rahisi?Mimacho inawatoka na mwanasheria feki asiyejua tofauti ya buyer na seller.
Nyie kweli wa kuongea?
 
Unajua maana ya propaganda wewe, hii sio propaganda ni vitu halisia na vinaonekana live, Kuna ambae akuona mechi ya jana? Simba wachezaji wengi ni wa kucheza ligi kuu na sio mechi za kimataifa!
Propaganda ndiyo kama hizo, unatoa kauli gongana.

Wahenga walisema usione vyaelea vimeumbwa. Unajisifu kuwa na Chama aliye katika orodha ya ufungaji bora wa CAF, nani waliomlea hadi akawa na rekodi hizo? Unajisifu kuwa na Mkude aliye na uzoefu, nani aliyempa huo uzoefu?

Kaongee na watoto wenzio.
 
Back
Top Bottom