Kwani kanuni za kuheshimu muda ni za wapi? Hadi ukatae mfano wa Man UKama ambavyo walitaka kanuni zifuatwe walipokimbia mechi na simba ilipopelekwa mbele vivyo hivyo waheshimu kanuni kwenye nembo maana wao walijitanabaisha kuwa ni watu wa kufuata kanuni wasijewakaanza ooho sijui mbona Man u na team viewer wamefanyaje hapana hatutumii kanuni za uingereza hapa ila za TFF
Sanaaa hasa wakikutana na mtoto nyau n kipigo tuIla yanga wana utoto sana.
Ulishawahi kumuona Twiga mwekundu?Kama ambavyo walitaka kanuni zifuatwe walipokimbia mechi na simba ilipopelekwa mbele vivyo hivyo waheshimu kanuni kwenye nembo maana wao walijitanabaisha kuwa ni watu wa kufuata kanuni wasijewakaanza ooho sijui mbona Man u na team viewer wamefanyaje hapana hatutumii kanuni za uingereza hapa ila za TFF
Luc ndiye kawaelezea vizuri sana Utopolo,wanachoweza ni kuzomea zomea tu kama nyaniIla yanga wana utoto sana.
Sio kwa baadhi ya timu ila kwa YangaNasikia NBC wamekubali kubadili rangi ya logo kwa baadhi ya timu.
Ila Yanga wanatunyosha.Sio kwa baadhi ya timu ila kwa Yanga
Basi Umeanza kuwafahamu Dar es Salaam Young Africans Miaka mitano nyuma baada ya Azam TV kuonesha mechi Live kwenye TVToka Pepo La Utopolo Unabanwa Na Kanuni, Sasa Hivi Hamna Ujanjaujanja!!! Nendeni Mkakae Mtafari
Mtavaa Jezi Yenye Twiga Mwekundu Ama Mtacheza Uch*
Haa Haa, Saa Hizi Wameishiwa Pose
Haa HaaYaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Sio utoto lazima utamaduni wao uheshimiwe.Ila yanga wana utoto sana.