Simba walivyopendeza na logo ya NBC, kanuni kuitoa Yanga kwenye ligi

Simba walivyopendeza na logo ya NBC, kanuni kuitoa Yanga kwenye ligi

Luc ndiye kawaelezea vizuri sana Utopolo,wanachoweza ni kuzomea zomea tu kama nyaniView attachment 1965725View attachment 1965726
KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!
 
Yaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana

View attachment 1965747
Ungejipa kuda kidogo kutafuta juna halisi la hiyo timu pia herufi S kushoto mwa logo na herufi C kulia zina maana gani?

Hiyo ni Young Africans Sports Club.
Maana yake ni kilabu ya michezo zaidi ya mmoja. Ilisajiriwa kama club ya michezo mbalimbali ilipoundwa.
Hiyo michezo wamekuwekea kwenye logo yao hata kama kwa sasa hawana timu za michezo hiyo mingine.

Ilifanywa hivyo lengo likikuwa kupata uhalali wa kukusanya pamoja vijana wapigania uhuru bila mkoloni kuwawekea vikwazo.
 
Yaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana

View attachment 1965747
Yanga toeni hivyo vikatuni vya netiboll na ngumi

Nyie no club ya soka
 
Simba na NBC ni kama kiuno na mkanda tangu enzi hizoooo jezi la mnyama simba likiwa limechafuka kama kawaida kitendo ambacho siyo rahisi kukuta kwenye team zinazofanya vibaya kuvutia sponsors wa kuchafua jezi.

Pichani ni Mnyama Pawasa akiwa ametinga uzi wenye twiga mwekundu vilevile ni vyema tukijikumbusha kanuni kuhusu logo ya sponsor, kanuni zifatwe.

View attachment 1965681View attachment 1965682View attachment 1965683
Sawa iakini na kanuni za yanga ziheshimiwe
 
KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!
...Baelezeee hao mikia fc wasiojua historia ya mpira wa nchi hii
 
Kama ambavyo walitaka kanuni zifuatwe walipokimbia mechi na simba ilipopelekwa mbele vivyo hivyo waheshimu kanuni kwenye nembo maana wao walijitanabaisha kuwa ni watu wa kufuata kanuni wasijewakaanza ooho sijui mbona Man U na team viewer wamefanyaje hapana hatutumii kanuni za Uingereza hapa ila za TFF
hatunaga rangi nyekundu clubuni kwetu, hiyo ni kanuni yetu, msitutishe.
 
KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!
Sasa hiyo young kiswahili ?
 
Back
Top Bottom