Lakini Voda walifuata hata NBC,watafanya the sameYaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Hizo nyota utopolo kajiwekea tu kama GwambinaYaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Watakubali kubadili Logo..Hapa suluhisho ni kupata makampuni ya Nje halafu tuangalie Gongowazi watatokea wapi..!NBC hawawezi kuongozwa na mihemko, na siyo wajinga waanze kutofautianna na Yanga.
Hiyo ni logo/nembo tu ya benki..si lazima awepo.
KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!Luc ndiye kawaelezea vizuri sana Utopolo,wanachoweza ni kuzomea zomea tu kama nyaniView attachment 1965725View attachment 1965726
Huu ujinga alianzisha malinziIla yanga wana utoto sana.
Vip timu zingine wakitaka nao wawe na logo yaoIla Yanga wanatunyosha.
Mdhamini akiona anaendeshwa anajitoaVip timu zingine wakitaka nao wawe na logo yao
Ungejipa kuda kidogo kutafuta juna halisi la hiyo timu pia herufi S kushoto mwa logo na herufi C kulia zina maana gani?Yaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Lakini Voda walifuata hata NBC,watafanya the same
Tulia utaona sasaVoda waliheshimu Awamu ya nne maana ilikuwa madarakani na sote tunajua ni Yanga lia lia[emoji3][emoji3]
Yanga toeni hivyo vikatuni vya netiboll na ngumiYaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Sawa iakini na kanuni za yanga ziheshimiweSimba na NBC ni kama kiuno na mkanda tangu enzi hizoooo jezi la mnyama simba likiwa limechafuka kama kawaida kitendo ambacho siyo rahisi kukuta kwenye team zinazofanya vibaya kuvutia sponsors wa kuchafua jezi.
Pichani ni Mnyama Pawasa akiwa ametinga uzi wenye twiga mwekundu vilevile ni vyema tukijikumbusha kanuni kuhusu logo ya sponsor, kanuni zifatwe.
View attachment 1965681View attachment 1965682View attachment 1965683
wa baba yakoIla yanga wana utoto sana.
...Baelezeee hao mikia fc wasiojua historia ya mpira wa nchi hiiKUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!
hatunaga rangi nyekundu clubuni kwetu, hiyo ni kanuni yetu, msitutishe.Kama ambavyo walitaka kanuni zifuatwe walipokimbia mechi na simba ilipopelekwa mbele vivyo hivyo waheshimu kanuni kwenye nembo maana wao walijitanabaisha kuwa ni watu wa kufuata kanuni wasijewakaanza ooho sijui mbona Man U na team viewer wamefanyaje hapana hatutumii kanuni za Uingereza hapa ila za TFF
hakuna hata mmoja
Sasa hiyo young kiswahili ?KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!