hii logo ipo kabla babu yako hajazaliwa, nyau weYaani jaribu ku imagine mtu mwenye logo kama hii anajaribu kuwafundisha vodacom na Nbc jinsi ya kutengeneza logo,embu angalia huo mchanganyiko wa kachumbari kwenye hiyo nembo mara mwenge, mara ngumi mara netball dah inasikitisha sana
View attachment 1965747
Yanga ilikuwepo na ipo kabla ya NBCNBC hawawezi kuongozwa na mihemko, na siyo wajinga waanze kutofautianna na Yanga.
Huko Utopolo wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK waliobakia wote ni mazwazwa hii ni kwa mujibu wa msemaji wa Utopolo.KUNA TIMU ILIJITOA UFAHAMU NA KUJIFANYA NI YA KIZUNGU NA KUDHARAU ASILI YAKE KWA KUJIITA "SUNDERLAND". SERIKALI IKAPIGA MARUFUKU UJINGA HUO NA KUTAKA MAJINA YENYE ASILI YETU, NDIPO TIMU HIYO IKATOKA USINGIZINI NA KUBADILI JINA KUWA SIMBA, WAKATI HUO, TIMU NYINGINE TOKA AWALI ILIRINGIA ASILI YAKE LA ' VIJANA CHIPUKIZI WA KIAFRIKA WA DAR ES SALAAM( Dar es Salaam Young Africans). INASHANGAZA TIMU MOJA MPAKA IFUNDISHWE NA SERIKALI KURINGIA ASILI YAKE!
Yanga kubwa kuliko serikali?!!...Hizi akili mnatoa wapi?Lazima uelewe kuwa Yanga ni kubwa kuliko TFF
Hizi kanuni zilokuwepo kipindi cha Vodacom nadhani wakumbuka mkwara Tenga alopiga? Lakini Yanga walivaa nyekundu?
Logo ya shirika/kampuni kubadilika kutokana na Ushabiki ni kosa kubwa sana!!... Duniani kote wata shangaaSio kwa baadhi ya timu ila kwa Yanga
Na umbu mbumbu sanaIla yanga wana utoto sana.
Ushawahi kuona MTU wa njano au kijani?? Utopolo nyie ni mapunguani