Simba wamecheza chini ya kiwango, kuna kitu

Simba wapo overrated sana
 
Tuache unafik ndugu yangu kapombe hakua sawa ata kuna wengine wamekosea usikatae na yy kukosolewa kuna mipira kama mitatu kapombe ilimpita kwa kujisahau ,la msingi tuseme ukwel uwezo wa wachezaj wa simba umeishia pale hawana wachezaj wa kucheza nusu fainal ila ni majuto sana maana katika miaka ya iv karibun naona mwaka huu simba kama wangezid kujipanga wangefika mbal ila mazoea yamewaponza kuna hatua ktk mpra uitaj wachezaj wanaotegemea maelezo ya kocha tu nimekua niikifuatilia simba ina aina moja tu ya mpra pasi ni hatar sana ktk hatua kama ya kwenda nusu fainal ni hatua kubwa unaitaj wachezaj ambayo wanaweza kubadilka kulingana na mazingra ,yote kwa yote viongoz wajifunze na wajue mpra sio kukaa hotel za nyota 5 au kuaid bonus unaitaj kwanza wachezaj karbu kum ambao wapo imara kwa kila sehem mfano simba ata ktk lig ya ndan ni udhaifu tu wa wachezaj wa timu nyngine ila simba ina matatzo kila eneo ni hii yote kuoneana aibu na kuendelea kuwakumbatia kila mchezaj mm bado naona simba inaitaj kiungo ambae machachar zaid ya lwanga na aliekua shap pia bek wawa kapombe wanaitaj wasaidiz kuwazd wao ambao wanaweza kucheza mipira ya juu na chin upande wa mawinga sina tatzo nako ila pale mbele tukubal tu zama za boko na kagere zimeisha lazma wapate mtu kumzd mugalu ambae mwenyewe tu atakua na uwezo wa kutumia ata nafas chache ,na uwezo wa kuwasaidia wenzie na pia bado simba wanashindwa kusaidiana asa asa katika mipira ya kona na kros na fauro viungo na mabek linapokuja suhala la kukaba ni wavivu mwaka wa tatu huu tatzo ilo bado lipo ,bado najiulza simba washakubal timu yao nzur ad kushindwa kuongeza wachezaj wa maana walipopata nafas kufanya ivyo ,kama wana simba tukubal kwa mwaka huu tumeishia apa ni suhala la viongoz na makocha kujipanga kujua wap na wap pana shida wajue cha kuongeza
 
Wakat simba amemiliki mpira kwa 68% na kaizer 32..kumbe ndo kucheza chini ya kiwango?
 
Yes ofcoz u r very right..tactics mate tactics...ndizo ziliwamaliza simba. This is next level bwana. Huku ligi yetu twajua kucheza 4-4-2 tuu. Jana simba walikutana na changamoto ya kimbuni na walishindwa kulitatua.

Walikuwa na umiliki wa mpira lakini jinsi ya kupenya a 5-2-3 formation ilikuwa shinda. Jinsi ya kuivunja hii defence ni tofauti na vile unavyoivunja defence ya 4-4-2 particularly relating to positional play ya wachezaji. Sasa hapa ndio pep anapokuwaga mtamu...anajua kawaelekeza wachezaji wakae maeneo gani ya kimkakati ili kutransalate possession into penetration.

Gomez ali fall into the common fallacy Ambayo ni kwamba ukitaka goli wee ongeza tuu washambuliaji pasipo kujua kuwa hao washambiliaji wanatakiwa wa occupy speciffic strategic positions ambazo ndio zitasaidia katika kuvunja ngome ya mpizani. Klcha anatakiwa kujiuliza mchezo unataka nini na sio kwamba kwa kuwa mpizani anaongoza basi inabidi niongeze washambuliaji ili kupata goli. Sometimes tatizo linaweza kuwa kwenye idara nyingine tofauti na sio kwamba washambuliaje hawafanyi kazi yao vizuri.

Sasa kuna nadharia na kuna practice. Yes hivi vitu unafundishwa kwenye pro licence za uefa and all that lakini kilichowakumba simba ni kwamba kwa sababu ligi yetu hainaga so many variations za formations, wachezaji na bench la ufundi walikuwa hawajakutana na kitu kama hicho therefore kuanza kusolve hiyo tactical problem while game inaendelea nna wakati hujafanyia mazoezi ni almost impossible. Na nadhani pia chiefs wali spring out this suprise so simba hawakutegemea kukutana na a 5-2-3 formation.
 
Hebu nyoosha maelezo basi! Au ni hawa wadhamini wa Yanga (GSM) wamewahonga hao Kaizer Chiefs ili wawafunge?
 
Mechi fitness nayo iliimaliza Simba.. Kutokucheza kwa wiki 2 ilhali wao Kaizer kabla ya mchezo na Simba walishapiga gemu kama 3 Hivi.
 
Ni kweli simba ina tatizo kubwa na Gomezi anaelekeza wachezaji lakini hawafuati maelekezo.
Wanategeana kwenye ulinzi
Hawaruki mipira ya juu hata Wawa hakupaswa ongezewa mkataba
Balala na Kapombe wanahitaji kupata mbadala ambao ni wazuri zaidi ili wakiwa nje ya mchezo ufanye Sub! Mfano jana unamtoa kapombe unamweka nani?
 
Wale Kaizer Jana walicheza mbinu ya Morinho ya counter attack , hata mtangazaji alikuwa anashangaa kwa kufungwa magoli 4 anasema hii timu ndio ilokuwa ikiongoza group lao mbona iko hivi yaani wamekuwa wepesi sana ,mpira ni magoli sio kumiliki mpira ndio kushinda pasi fupi fupi za simba hazikufua dafu hawakuwa na mbinu hata kidogo hawakupiga mashuti kabisa .Kuna siri moja leo mimi natoka kuitoa aliwahi kunipa kocha mmoja zamani ukitaka timu yako ishinde basi wachezaji wako wawe na mbio sana sana ili kuwachosha wale wapinzani wako na alikuwa akiwapigisha mbio wachezaji wake kwa lisaa zima ,naam timu yyote alokuwa aki cheza nayo akiufunga .
 
Povu la nn mkulu mnajisema sana ni watu wa ku ku ku ku si ndo hiyo walizidiwa maarifa ya kupenya ngome ya kaizer chiefs otherwise mpira walicheza
 
Kapombe kafungisha goli kama lile lile alilofungisha ktk mechi ya Dodoma Jiji. Haruki juu hata kidogo.
Wakifunga mnamihemuko kweli mnashangilia mpaka basi kwa nini msikubali Tu kuwa walizidiwa


Mpira ni makosa

Makosa ukiyafanya unaadhibiwa
 
Mimi dakika 5 tu zilipoanza nikaona pasi za nyuma na za pembeni zimekuwa nyingi kwa timu ya simba,halafu wale jamaa wakipata mpira kama kuna kitu wanataka kufanya.nikamwambia jamaa yangu hapa simba anapigwa 5 leo.hatujakaa hata dakika mbili wakapigwa la kwanza,

Nilichokiona kama simba hawakuwa na game plan hivi.. ukizingatia wasauzi wana rekodi ya kufunga magoli mengi kutoka hatua ya makundi.
Nikaingia sportpesa live game nikatia 20000,home over 2.5

Na kwakuwa ni shabiki wa yanga ..mambo yalikuwa murua kabisa...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa nimewaelewa walipokua wakishangilia walipo pata uhakika wamepangwa na Simba.
 
Kukaa bila kucheza mechi ndio tatizo kubwa kama umewai kucheza soka utaelewa ilo.na walituzidi mbinu za uharaka kufika kwenye nox letu

Gomez kila muda alikuwa anapiga kelele kuwa twende kwenye box lao ila wapi, tujipange mechi ijayo
Hizo ndo figisu zao walijificha kwenye kapu la tff ili wasicheze wasije wasaoz wakawajulia mbinu zao ona sasaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…