Simba wamehujumiwa wazi kabisa

Toeni na sababu.
 
Mtakumbuka siku kadhaa zilizopita,mmoja wa wachambuzi maandazi na chawa wa GSM,aliandika akiwashauri yanga wafanye kama walivyofanya man united,ili kuepuka kipigo kutoka kwa Simba...
Kipigo wanakiepukaje?
 
Mechi bdo ipo. Kipigo kipo pale pale. Tena muda huo mnyama bingwa tayari. Labda wakimbie ligi
 
Utopolo hawawezi kuwa werevu hata siku moja

Kati ya saa moja na kumi na moja nini tofauti. Mbona haya mambo hutokea Hata kwenye safari za anga na majini. Ndege inatakiwa kuondoka saa moja mnaambiwa itaondoka saa sita , ni kawaida sana

Shida Yanga inatumia Yellow Color ambayo ni Rangi ya Mabalaa na nuksi

Shida nyingine Yanga Management tayari inajiona less na inferiority complex hivyo kila kitu ni kudefend even if they are not attacked. Wanahisi wanaonewa hata km hakuna mazingira ya kuonewa.

Why Simba hajagoma ? It’s called Maturity and Confidence. Simba inaviongozi makini who went school.

Viongozi wa Yanga ni fault finders na Childish. Mpira wa sasa ni investment na sio blah blah km mke wenza.

Imagine Yanga imewatoa mashabiki mkoani waliokodi daladala kwa gharama zao na kuja hadi Dar then out of the blue wanagoma eti kisa kuna masaa 2 yamezidishwa:

Yaani kimeharibika nini hasa hadi wagome...... They are Stupid and Ignorant.

They will remain stagnant forever.

Facki-Off, Facki them
 
Kati ya saa moja na kumi na moja nini tofauti. Mbona haya mambo hutokea Hata kwenye safari za anga na majini. Ndege inatakiwa kuondoka saa moja mnaambiwa itaondoka saa sita , ni kawaida sana...
Maturity ni kutokufuata sheria? Kulikuwa na sababu gani kuhairisha mechi ndani ya masaa 2?
 
Kwanini ziwe ni za Yanga tu!? Wewe hushangai hapo!?
 
Ina maana akili zako hazijiulizi kwa nini mechi za yanga tu ndo zinasogezwa mbele? Mikia na TFF tumewashitukia
 
Hivi huu ugoro umeutoa wapi? No evidence no right to speak. Hebu fuatilia vizuri muda wa kuahirisha hizo mechi mbili ulizotaja ndiyo utajua ukweli¯¯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…