Yaani inafikia hatua kutengeneza uongo ili kuaminisha watu utafikiri watu hawawezi kufatilia ukurasa wa Real MadridHata mm nimeshangaa, watu wanalazimisha 1+1=3 badala ya 2, hatari sana
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hamna cha wakenya kutuchezea wala nini......wabongo ni wajuaji sana....kama wakenya wametuchezea hivi! naona aibu kuwa mtanzania
Heeeeh mmebadili gia angani tena sio Assistant kocha bali ni performance analyst? Kwahiyo hata Mo hakujua kama alikuwa Pablo alikuwa performance analystHamna cha wakenya kutuchezea wala nini......wabongo ni wajuaji sana....
Jama alikuwa madrid kama performance Analyst.
View attachment 2008090
Kwani kwenye CV imeandikwaje?Heeeeh mmebadili gia angani tena sio Assistant kocha bali ni performance analyst? Kwahiyo hata Mo hakujua kama alikuwa Pablo alikuwa performance analyst
Mbona CV imeandikwa Assistant ManagerHamna cha wakenya kutuchezea wala nini......wabongo ni wajuaji sana....
Jama alikuwa madrid kama performance Analyst.
View attachment 2008090
No analyst and Assistant coach.....Mbona CV imeandikwa Assistant Manager
Ndio nakuuliza umeniskia wapi nikisema ni Asstant coach....?Aliyesema kuwa performance analyst ni nani kama sio mwenyewe?
Nimekuuliza kwahiyo Mo dewji ni muongo? Maana kasema alikuwa kocha msaidizi wa Real Madrid wakati kumbe wewe unasema ni performance analyst wa Real MadridNdio nakuuliza umeniskia wapi nikisema ni Asstant coach....?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Unachotaka ni nini?Nimekuuliza kwahiyo Mo dewji ni muongo? Maana kasema alikuwa kocha msaidizi wa Real MadridView attachment 2008111
Hojq iliyopo ni kweli alikuwa ni Assistant coach wa real Madrid au lah. Hivyo wewe umethibitisha kuwa hakuwa assistant coach bali ni performance analyst. Hivyo inamaana mo dewji na wengine waliodai alikuwa kocha msaidizi wa real Madrid ni waongoUnachotaka ni nini?
Mtu wa kupoteza nae mda kubishana Bila sababu za msingi?
Cv yake inasema kafanya kazi madrid kama performance analyst na Assistant coach....mainly anaitaja Analyst.
Mkabisha.....
Nimewaletea picha alivyokuwa madrid.....bado unabisha, Nikuulize unabishana nini?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Umesoma andiko hilo? Nililoreply?Hojq iliyopo ni kweli alikuwa ni Assistant coach wa real Madrid au lah. Hivyo wewe umethibitisha kuwa hakuwa assistant coach bali ni performance analyst. Hivyo inamaana mo dewji na wengine waliodai alikuwa kocha msaidizi wa real Madrid ni waongo
Umesema alikuwa ni performance analyst alivyokuwa real MadridHamna cha wakenya kutuchezea wala nini......wabongo ni wajuaji sana....
Jama alikuwa madrid kama performance Analyst.
View attachment 2008090
Lakini Transfer market na Wikipedia wanadai kua alikua Assistant managerNo analyst and Assistant coach.....
Watu wamezingatia hiyo Assistant pekee.
Ukiangalia hiyo ni Post yake ya 2020, ko tuseme alianza kuuandaa uongo tangu 2020......? Kutoka hapa hiyo hoja ya wakenya hivi wakenya vile imekufaa.
View attachment 2008106
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app