Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

huko alikua anakutana na wakina barcelona,madrid,atletico nk ,huyo ni kocha mkubwa sana kwa timu zetu za afrika ,simba imelamba dume
 
Ngoja tuone japo huko alipotoka kaacha hali si hali na hata hiyo GETAFE kidogo awashushe daraja
 
huko alikua anakutana na wakina barcelona,madrid,atletico nk ,huyo ni kocha mkubwa sana kwa timu zetu za afrika ,simba imelamba dume
Sikilizaaa, nakuambia hapa, na uweke kumbukumbu, kwa matokeo mabaya ya Simu msimu huu, huyo kocha hatakaa, ataondoka kabla ya msimu kuisha kwa aibu ya pekee..

Sbb huyo sio Kocha mzuri, hajawahi kuwa na record nzuri kokote, na hakai kwenye timu zaidi ya msimu mmoja sbb hawezi leta matokeo yoyote bora.
 
Hao MARCA ni moja kati ya vyanzo vikubwa na vya kuaminika mno vya habari za michezo Spain, kama kweli wewe ni shabiki wa Madrid bila shaka unajua hilo. Sasa kawaulize Marca walikua na maana gani kwenda kumuhoji Franco kuhusu tetesi za Bale kuondoka wakati akiwa kocha msaidizi hapo. Hiyo ni habari ya 2019. Au huyo wakala wake aliwalipa pia Marca kuandika habari ya uongo? Hivi kwa akili yako unadhani kwa wenzetu kuna tantalila kama bongo? Unadhani kule ni rahisi mtu kuibuka tu na kujitangaza alishawahi kua kocha msaidizi wa timu kubwa kama Madrid, na habari kibao kuwepo kwenye World Wide Web na asichukuliwe hatua kali za kisheria? Kama unadhani hilo linawezekana utakua na matatizo makubwa sana. Jitathmini, acha ushabiki maandazi
 
mkuu mbona unaongea kama hujui mpira ,matokeo yapi mabaya ya simba msimu huu,amefungwa mechi ngapi,yupo nafasi ya ngapi kwenye ligi ,ameshafungwa hata goli lolote tu kwenye ligi ,mpira ni namba sio porojo
 
Hii nchi hii hatari tupuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ngoja tuone japo huko alipotoka kaacha hali si hali na hata hiyo GETAFE kidogo awashushe daraja
kutokana na ukubwa na ugumu wa ligi ya spain,haki huyo jamaa huku atawaua simba wanaua mende kwa kifaru sio poa
 
Wewe ni box aisee.. nenda transfer market usearch jina lake maana una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii na una kichwa lakini hakina maarifa. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ameshalizingumzia kwenye uzi wake kuwa Wikipedia na Transfer market sio source za kiujanja ujanja tu sio source sahihi. Mfano kwenye Wikipedia kuna alama ipo juu ya kuedit content je unategemea nini hapo?
 
Achana na MARCA tunataka official source ya real madrid
 
Uchungu ulionao ulipaswa uwe unazaa mda huu
 
Hata Mimi baada ya kusoma hapa nimefuatilia nikaishia kusikitika tu kuona mtu kama Mo anakuwa msawazi kama waswazi Wa hali ya chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…