Damage ishafanyika tayari.Huyo wa tume ya dawa za kulevya naye aliamua kuropka tu bila kujiridhisha kama huyo ni Muajiria wa Simba? anapaswa kuiomba radhi Simba na mashabiki wake kwa kusababisha usumbufu usio na sababu.
Simba mna uelewa kiduchu sana, swala moja la msingi "Anafanya kazi Simba au hafanyi".Huyo wa tume ya dawa za kulevya naye aliamua kuropka tu bila kujiridhisha kama huyo ni Muajiria wa Simba? anapaswa kuiomba radhi Simba na mashabiki wake kwa kusababisha usumbufu usio na sababu.
Hafanyi umeshaambiwa, anafanya kibarua au almaarufu "deiwaka".Simba mna uelewa kiduchu sana, swala moja la msingi "Anafanya kazi Simba au hafanyi".
Watakujibu anafanya kazi simba mara moja kwa mwezi kwahiyo sio mfanyakazi wa simba πSimba mna uelewa kiduchu sana, swala moja la msingi "Anafanya kazi Simba au hafanyi".
Kwahiyo kibarua anakifanyia Namungo Fc?, Hicho kibarua ndio kinaondoa uhalali wa yeye kuwa mfanyakazi wa taasisi ya Simba? Poor argument kama hizi mnazitoa wapi??Hafanyi umeshaambiwa, anafanya kibarua au almaarufu "deiwaka".
Huo udeiwaka anaufanyia wapi Mkuu?Hafanyi umeshaambiwa, anafanya kibarua au almaarufu "deiwaka".
sio sahihi maelezo aliyotoa punda yanasemaje ,polisi huzungumza ulichosema mtuhumiwa hivyo tue wavumilivu tupo ndani ya MUDAHuyo wa tume ya dawa za kulevya naye aliamua kuropka tu bila kujiridhisha kama huyo ni Muajiria wa Simba? anapaswa kuiomba radhi Simba na mashabiki wake kwa kusababisha usumbufu usio na sababu.
Wangetuliaga tu. π πWatakujibu anafanya kazi simba mara moja kwa mwezi kwahiyo sio mfanyakazi wa simba π
Mapoda FC huu mtarimbo hawachomoi wakae tu kwa utulivu.
Ona Sasa mkude ushabuya ngada unakuja kuhara hukuπ€£π€£Kwahiyo mnasemaje nyie mihogo fc
Kitu NDOIGE πWatakujibu anafanya kazi simba mara moja kwa mwezi kwahiyo sio mfanyakazi wa simba π
Mapoda FC huu mtarimbo hawachomoi wakae tu kwa utulivu.
Mpaka anakamatwa nani alikua kocha wa makipa wenu?
Mnavyoshadadia hili sipati picha kama angekuwa ana ajira kamili na ameshakuwepo hapo kwa miaka miwili au zaidi.Kwahiyo kibarua anakifanyia Namungo Fc?, Hicho kibarua ndio kinaondoa uhalali wa yeye kuwa mfanyakazi wa taasisi ya Simba? Poor argument kama hizi mnazitoa wapi??
Kwani hujui kama Dunia hii kuna watu wanafanya kazi kwa mikataba ya kudumu na mikatba ya muda ambao ndio huo mnoita dayworker!!
Daah, afadhali tuendelee kutumia kiingereza. Hee, nilikuwa nimesahau, kumbe kiingereza sio lugha yetu!Sawa ila wajibu Aya maswali.. kwanini awakutoa taharifa kabla kuwa ni kocha wa mda. Ata kama umemuomba afundishe kwa mda uyo tiyali ni mwajiliwa wako. Na kama ni ivyo basi wahandike barua kwa tume ya kudhibiti na kuzuiya madawa ya kulevya yenye lengo la kuomba radhi kwa tahasisi na club ya simba fc kwa kumtuhumu kocha wa magolikipa anaye zaniwa ni mwajiliwa wa simba.