Simba wamkataa Muharami kuwa kocha wake

Simba wamkataa Muharami kuwa kocha wake

Hoja hojaji, ikiwa mtuhumiwa ni muajiriwa wa simba kulikuwa na haja gani kuihusisha simba katika kuitaja ikifahamika simba inaiwakilisha nchi kimataifa? Busara na hekima haikutumika kuitaja simba ni kuharibu image yake kimataifa na nchi pia. Walipaswa kumtaja yeye kama induvidual one.
 
IMG_0334.jpg
 
Uongozi wa Klabu ya Simba unaujulisha umma kuwa aliyekuwa Kocha wa makipa Muharami Said Mohammed maarufu 'Shilton', hakuwa muajiriwa wa klabu hiyo na wala hakuwa na mkataba na Simba.

Simba ilimuomba Muharami kuwanoa makipa wake kwa muda kwa mwezi mmoja, wakati huo klabu ikiendelea kutafuta Kocha wa kudumu.

Kwa mantiki hiyo klabu haihusiki na tuhuma zinazomkabili Kocha huyo na klabu iko tayari kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika pindi itakapohitajika kwa maslahi ya Taifa.

Uongozi wa Simba unawaomba mashabiki wa klabu hiyo kuwa watulivu kwani hakuna athari yeyote kwa klabu kutokana na kadhia iliyomkumba Kocha huyo.
Shamba likiwa na bangi ni lako , ila shamba hilohilo likiwa na dhahabu ni la serikali
 
Kwani manji aliposhikwa na ngada alikamatwa kama manji au taasisi ya yanga akiwa mdhamini wenu?
Manji alipimwa mkojo ndio uliokutikana na dawa.
Hajakamatwa na kete.
Na hizo dawa zilizokutikana kwenye mkojo ni kwasababu ya madawa ya hospitali aliyokuwa akiyatumia kutokana na shida yake ya MOYO.
 
Back
Top Bottom