Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio kila siku wanajitapa mitandaoni wa kimataifaHadi mgunda majeans hana mkataba
Shamba likiwa na bangi ni lako , ila shamba hilohilo likiwa na dhahabu ni la serikaliUongozi wa Klabu ya Simba unaujulisha umma kuwa aliyekuwa Kocha wa makipa Muharami Said Mohammed maarufu 'Shilton', hakuwa muajiriwa wa klabu hiyo na wala hakuwa na mkataba na Simba.
Simba ilimuomba Muharami kuwanoa makipa wake kwa muda kwa mwezi mmoja, wakati huo klabu ikiendelea kutafuta Kocha wa kudumu.
Kwa mantiki hiyo klabu haihusiki na tuhuma zinazomkabili Kocha huyo na klabu iko tayari kutoa ushirikiano kwa mamlaka husika pindi itakapohitajika kwa maslahi ya Taifa.
Uongozi wa Simba unawaomba mashabiki wa klabu hiyo kuwa watulivu kwani hakuna athari yeyote kwa klabu kutokana na kadhia iliyomkumba Kocha huyo.
Kwa kifupi ni kwamba, Muharami alipokuwa Simba SC alikuwa akipiga deiwaka, LABDA ndio sababu akaamua kujiongeza.
Umeshabwia unga hapo
HatariiiiMuharami wachome maboss zako, usikubali wao si wamekukataa
Mwaga ugalii...
Sawa ila jua hata Waminyato ananyatiwa😄Utopolo wanapuyanga maneno humu hawana la maana.
Hapo vipi,hapo sawa,hapo vipi,hapo sawa ,hapo vipi ,hapo sawa🏃🏃Muharami wachome maboss zako, usikubali wao si wamekukataa
Mwaga ugalii...
We demu unapata muda saa ngapi kumpikia bwana wako chakula muda wote upo humu[emoji3061]Nimeamini ni chuki tuuu yani kweli mpira umeshakua jangaa yani akamatwe mwingine mje mumhusishe mwingine na upumbavu wa mwingine chaaa
aaah,mbon izo zishapigwa sana wala ngada wanachemka kila siku...we wachezaji wanakula ngada ndo wakashindane na wala mihogoTff iandae mechi kati ya walamihogo na wala ngada
Nilitaka kumuuliza Hilo Hilo namm naona kila Uzi yupo [emoji1787][emoji1787]We demu unapata muda saa ngapi kumpikia bwana wako chakula muda wote upo humu[emoji3061]
Manji alipimwa mkojo ndio uliokutikana na dawa.Kwani manji aliposhikwa na ngada alikamatwa kama manji au taasisi ya yanga akiwa mdhamini wenu?
Tafuta hela kijana maisha yangu hayakuhusu.We demu unapata muda saa ngapi kumpikia bwana wako chakula muda wote upo humu[emoji3061]
Mbona hujauliza? Nyie yanawahusu nini? Someni comments acheni umbeaNilitaka kumuuliza Hilo Hilo namm naona kila Uzi yupo [emoji1787][emoji1787]
Unanifatilia kumbe ee so kila muda nipo humu?.Naona nimekua CNN 24 hrs ipo hewani na mm nipo JF? Acha ushambengaWe demu unapata muda saa ngapi kumpikia bwana wako chakula muda wote upo humu[emoji3061]