Simba wana kibarua kigumu mbele ya KMC

Timu ina herufi zote main za utamu "KM" halafu tushindwe kutafuna? acheni masikhara nyie leo tunakula mbunye mapema sana!!
 
Maajabu ya soka Tanzania..Mohammed Rashid kaenda KMC kwa mkopo ila Mikia wamekataza asicheze mechi ya leo...
 
Maajabu ya soka Tanzania..Mohammed Rashid kaenda KMC kwa mkopo ila Mikia wamekataza asicheze mechi ya leo...
Cha ajabu kitu gani mkuu? Mbona hata uingereza wanafanya hicho kitu? Au hujui hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…