Simba wana kibarua kigumu mbele ya KMC

Simba wana kibarua kigumu mbele ya KMC

Aah wapi. Sura ya kuwa we ni shabiki wa Mikia sababu umeandika kishabiki pale. Kwa aina hii ya uchambuzi hata sikukubali Swahiba.

Uchambuzi wa kulalia sehemu moja. We ni mshabiki wa Mikia tu na ndio ukweli huo.
[emoji3][emoji3][emoji3]yamekuwa hayo Swaiba daahh wewe mwenyewe unajua Mimi Ni mtoto wa jangwani japo timu yetu ya kuangaunga na kina Boban
 
Kikosi Cha Simba vs KMC leo
Screenshot_20181219-143200~2.jpeg
 
Back
Top Bottom