kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Wanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90% ya wachezaji bila ushauri wake.
Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.
Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.
Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.
Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.