Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Nawashangaa mambwiga kibao waropoka kwa kukarii tu eti Simba inasajili bila uwepo wa kocha sijui huyu Juma Mgunda ni mwimba taarabu pale Simba.
Kama juma ndiye anaesajili basi itachekesha sana kama juma asipopewa ukocha mkuu wa Simba na Matola kuwa msaidizi wake. Inaweza kutokea vurugu kubwa kama aliyewasajili ataomdoshwa au kufanywa msaidizi wa kocha.
 
subiri filimbi upulizwe, ndo utaina maana halisi ya uzi huu. Gamondi yeye anaziba paa pale tu panapovuja (very specific registration), Azam pia kocha anajua ni kwanini anaacha mchezaji na kwanini anaongeza mchezaji (very specific), simba wanakusanya wachezaji (general), "sijui watamfaa kocha?" sijui wataclick? sijui watamwelewa kocha?. Maana kocha mwenyewe anaetumika (kama ni mgiunda) hana uhakika wa kuwa kocha mkuu wa kikosi. Usajili wa wachezaji ni kama kutafuta miwani ya kuonea maandishi, mgonjwa mwenyewe ndiyo achague size yake inayomfaa. Kocha mkuu inakuwa vizuri kama atasema mwenyewe aletewe mchezaji yupi hasa kwenye timu ambayo haikufanya vizuri kwa misimu 3 mfululizo,
Kijana tulia mbona unapanic wacha tusajili
 
Hivi dereva akusanyiwe LC V8 na Range Rovers halafu alalamike kuwa gari hazifai?
Mkusanyiko wenu huu ili ugeuke timu (squad) ligi imeshachezwa 40% ya mechi zote za ligi. Huezi kwenda na kongamano hili wachezaji kwenye caf confederation.
 
Back
Top Bottom