Uwoga ni ugonjwa mbaya sana hasa ukiwa hujui unaogopa nini. Nilitegemea utopolo wangefurahia na kukaa kimya ili wasiwastue Simba kwamba wanaboronga ili watupige 10, badala yake wamejawa na hofu, uwoga na kukosa matumaini.
Nyerere aliwahi kusema Ukiona adui yako anakusifia sana jiulize umekosea wapi. Ila Ukiona adui yako anakuponda, wewe ziba masikio kama chura kiziwi maana unakuwa unampiga kwenye mshono. Safari hii utopolo wanapigwa kwenye mishono dadeki. Kelele nyingii ila sisi tumeziba masikio.