Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Umemuelewa kweli mtoa mada ndugu Mwasibu! Kwani huyo Mgunda ndiyo kocha mkuu wa timu msimu ujao, au ni care taker tu wa timu!!
Kwa hiyo kama mgunda sio kocha mkuu akija kocha akakaa miezi mitatu akaondoka basi kocha mwingine akija tuanze usajili mpya kwa kuwa na yeye atakuwa na watu wake?
 
Uwoga ni ugonjwa mbaya sana hasa ukiwa hujui unaogopa nini. Nilitegemea utopolo wangefurahia na kukaa kimya ili wasiwastue Simba kwamba wanaboronga ili watupige 10, badala yake wamejawa na hofu, uwoga na kukosa matumaini.

Nyerere aliwahi kusema Ukiona adui yako anakusifia sana jiulize umekosea wapi. Ila Ukiona adui yako anakuponda, wewe ziba masikio kama chura kiziwi maana unakuwa unampiga kwenye mshono. Safari hii utopolo wanapigwa kwenye mishono dadeki. Kelele nyingii ila sisi tumeziba masikio.
Yatunze maneno Yako haya ili uyakumbuke baada ya ligi kuanza, Yanga imeshajipata, kawaulize mamelods
 
Lakini ni kocha wa Simba regardless of ukocha mkuu. Kwamba Mgunda akishirikiana na bench la ufundi na scouting hawana uwezo wa kujua mahitaji ya timu?
Mbona benchikha alikuwa hawapangi akina chasambi na balua? Kwanini robertihno alikuwa hapendi uchezaji wa chama? Philosophy ya mwl matters wakati wa usajili.
 
Mbona benchikha alikuwa hawapangi akina chasambi na balua? Kwanini robertihno alikuwa hapendi uchezaji wa chama? Philosophy ya mwl matters wakati wa usajili.
Mwalimu aliyepo ni Mgunda, unataka asajili kwa ajili ya falsafa ya mwalimu yupi mwingine?
 
Vyura mbona mnawashwa sana?? Scout kashaona shida iko wapi viongozi pia wapo wameona shida iko wapi na wamesajili moja kati ya sajili bora kabisa maana ndio wachezaji tunaohitaji kwenye timu yetu nashangaa nyie vyura ndio mnalalamika. Timu inaundwa upya ndiomaana tunavuta vijana wadogk na wala hatuna presha ya makombe maana tushayabeba sana huu ni muda wa kutengeneza bomu la nuclear likija kulipuka patakuwa hapatoshi
 
Simba haiendeshwi kwa mihemko ya vyura fc..simba msimu uliopita matumizi 20b mapato 20b+. Hatudaiwi na mchezaji sio nyie zaidi ya bil1.5 mnatumia kuvunja mikataaba . Mnasajili dube na chama na kumuongezea mkataba aziz yaani hao watatu tu mishahara yao ni kimbembe na msipoangalia italeta chuki baina ya wachezaji na kuua timu mnaendesha timu kimalayamalaya
 
Saizi wamesahau kuwa wanadai Bilioni ishirini 😀😀😀,wakipigwa mechi kadhaa wanakumbuka madeni...........
 
Simba haiendeshwi kwa mihemko ya vyura fc..simba msimu uliopita matumizi 20b mapato 20b+. Hatudaiwi na mchezaji sio nyie zaidi ya bil1.5 mnatumia kuvunja mikataaba . Mnasajili dube na chama na kumuongezea mkataba aziz yaani hao watatu tu mishahara yao ni kimbembe na msipoangalia italeta chuki baina ya wachezaji na kuua timu mnaendesha timu kimalayamalaya
Mwenyewe akisema timu yake msilielie 😀😀
 
Lakini ni kocha wa Simba regardless of ukocha mkuu. Kwamba Mgunda akishirikiana na bench la ufundi na scouting hawana uwezo wa kujua mahitaji ya timu?
Kujua mahitaji ya timu ni jambo JINGINE na kujua philosophy ya kocha mpya ni jambo JINGINE,
 
Yatunze maneno Yako haya ili uyakumbuke baada ya ligi kuanza, Yanga imeshajipata, kawaulize mamelods
Imejipata milele? Imedrop baselona sembuse utopolo? Hata Simba iliwahi kujipata tukuambie ukawaulize alahly?
 
Back
Top Bottom