Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Simba wanakusanya wachezaji wapya badala ya kusajili wachezaji wapya

Vyura mbona mnawashwa sana?? Scout kashaona shida iko wapi viongozi pia wapo wameona shida iko wapi na wamesajili moja kati ya sajili bora kabisa maana ndio wachezaji tunaohitaji kwenye timu yetu nashangaa nyie vyura ndio mnalalamika. Timu inaundwa upya ndiomaana tunavuta vijana wadogk na wala hatuna presha ya makombe maana tushayabeba sana huu ni muda wa kutengeneza bomu la nuclear likija kulipuka patakuwa hapatoshi
Sawa uzuri mtu wa kupewa lawama yupo pale jahazi litakapo anza kuingiza maji
 
Yatunze maneno Yako haya ili uyakumbuke baada ya ligi kuanza, Yanga imeshajipata, kawaulize mamelods
Hivi na nyie mnaweza jisifu kupitia Mamelod? Mbona hamkuwakazia Al Ahly ?
 
Sio kocha mkuu wa Simba Wala msaidizi wake ila ni mtu mwenye mapenzi na klabu ya Simba.
Yule ni mwajiriwa wa Simba SC ... Suala la mapenzi na klabu mpelekee Jamhuri Kihwelu na Boniphace Mkwasa.
 
Vyura mbona mnawashwa sana?? Scout kashaona shida iko wapi viongozi pia wapo wameona shida iko wapi na wamesajili moja kati ya sajili bora kabisa maana ndio wachezaji tunaohitaji kwenye timu yetu nashangaa nyie vyura ndio mnalalamika. Timu inaundwa upya ndiomaana tunavuta vijana wadogk na wala hatuna presha ya makombe maana tushayabeba sana huu ni muda wa kutengeneza bomu la nuclear likija kulipuka patakuwa hapatoshi
subiri filimbi upulizwe, ndo utaina maana halisi ya uzi huu. Gamondi yeye anaziba paa pale tu panapovuja (very specific registration), Azam pia kocha anajua ni kwanini anaacha mchezaji na kwanini anaongeza mchezaji (very specific), simba wanakusanya wachezaji (general), "sijui watamfaa kocha?" sijui wataclick? sijui watamwelewa kocha?. Maana kocha mwenyewe anaetumika (kama ni mgiunda) hana uhakika wa kuwa kocha mkuu wa kikosi. Usajili wa wachezaji ni kama kutafuta miwani ya kuonea maandishi, mgonjwa mwenyewe ndiyo achague size yake inayomfaa. Kocha mkuu inakuwa vizuri kama atasema mwenyewe aletewe mchezaji yupi hasa kwenye timu ambayo haikufanya vizuri kwa misimu 3 mfululizo,
 
Wanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90% ya wachezaji bila ushauri wake.

Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.

Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.

Waachie wao. Hayatuhusu. Sisi tuendelee kusajili.
 
Kocha wa timu ni Mgunda, yeye na wenzie wawetoa mahitaji ya wachezaji. Nyie washauri wa timu mnataka wangefanyaje? Wawe wanawapa Uto kazi ya kusajili?

Mnakuwa kama mmeanza kufuatilia mpira juzi. Kwamba ndio mara ya kwanza kuona usajili kutofanya vizuri? Unafeli usajili wa Man U na Chelsea itakuwa usajili wa Simba?

Daaah.... Hapa umeongea kimpira sana. Nimegundua sisi mashabiki njaa huwa tunakurupuka sana kama huyu dogo badala tukaze na team yetu tunahangaika na Simba wanafanya nini.
 
Kwa hiyo kama mgunda sio kocha mkuu akija kocha akakaa miezi mitatu akaondoka basi kocha mwingine akija tuanze usajili mpya kwa kuwa na yeye atakuwa na watu wake?
Ungeanza kwa usajili wa kocha mkuu kwanza kabla ya wachezaji. Hii ingesaidia kujua kocha anahitaji wachezaji wa aina ipi kutokana na style yake uwanjani. Sasa hivi mnakusanya kundi la wachezaji badala ya kusajili wachezaji.
 
Wanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90% ya wachezaji bila ushauri wake.

Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.

Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.
Kwani shida iko wapi mpishi ukija vyakula vimejaa stoo we kazi yako kupika tu na kukaangiza
 
Back
Top Bottom