ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Sawa uzuri mtu wa kupewa lawama yupo pale jahazi litakapo anza kuingiza majiVyura mbona mnawashwa sana?? Scout kashaona shida iko wapi viongozi pia wapo wameona shida iko wapi na wamesajili moja kati ya sajili bora kabisa maana ndio wachezaji tunaohitaji kwenye timu yetu nashangaa nyie vyura ndio mnalalamika. Timu inaundwa upya ndiomaana tunavuta vijana wadogk na wala hatuna presha ya makombe maana tushayabeba sana huu ni muda wa kutengeneza bomu la nuclear likija kulipuka patakuwa hapatoshi
Yaani mambo yafanyike huko Simba,kuumia aumie yeye chura wa kihansi,😅😅😅😅Kwani kuna shida mchawi?
Sio kocha mkuu wa Simba Wala msaidizi wake ila ni mtu mwenye mapenzi na klabu ya Simba.Hivi Mgunda ni kocha wa timu gani.
Hivi na nyie mnaweza jisifu kupitia Mamelod? Mbona hamkuwakazia Al Ahly ?Yatunze maneno Yako haya ili uyakumbuke baada ya ligi kuanza, Yanga imeshajipata, kawaulize mamelods
Yule ni mwajiriwa wa Simba SC ... Suala la mapenzi na klabu mpelekee Jamhuri Kihwelu na Boniphace Mkwasa.Sio kocha mkuu wa Simba Wala msaidizi wake ila ni mtu mwenye mapenzi na klabu ya Simba.
Kazi ya Scout.... 😀Mgunda ndio Aliyependekeza huu usajili mkuu?
Nyuma - Mwiko......mnateseka na usajili wa Simba 😀 😀Mgunda hata pre season haendi
subiri filimbi upulizwe, ndo utaina maana halisi ya uzi huu. Gamondi yeye anaziba paa pale tu panapovuja (very specific registration), Azam pia kocha anajua ni kwanini anaacha mchezaji na kwanini anaongeza mchezaji (very specific), simba wanakusanya wachezaji (general), "sijui watamfaa kocha?" sijui wataclick? sijui watamwelewa kocha?. Maana kocha mwenyewe anaetumika (kama ni mgiunda) hana uhakika wa kuwa kocha mkuu wa kikosi. Usajili wa wachezaji ni kama kutafuta miwani ya kuonea maandishi, mgonjwa mwenyewe ndiyo achague size yake inayomfaa. Kocha mkuu inakuwa vizuri kama atasema mwenyewe aletewe mchezaji yupi hasa kwenye timu ambayo haikufanya vizuri kwa misimu 3 mfululizo,Vyura mbona mnawashwa sana?? Scout kashaona shida iko wapi viongozi pia wapo wameona shida iko wapi na wamesajili moja kati ya sajili bora kabisa maana ndio wachezaji tunaohitaji kwenye timu yetu nashangaa nyie vyura ndio mnalalamika. Timu inaundwa upya ndiomaana tunavuta vijana wadogk na wala hatuna presha ya makombe maana tushayabeba sana huu ni muda wa kutengeneza bomu la nuclear likija kulipuka patakuwa hapatoshi
Wanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90% ya wachezaji bila ushauri wake.
Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.
Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.
Kocha wa timu ni Mgunda, yeye na wenzie wawetoa mahitaji ya wachezaji. Nyie washauri wa timu mnataka wangefanyaje? Wawe wanawapa Uto kazi ya kusajili?
Mnakuwa kama mmeanza kufuatilia mpira juzi. Kwamba ndio mara ya kwanza kuona usajili kutofanya vizuri? Unafeli usajili wa Man U na Chelsea itakuwa usajili wa Simba?
Queens simbaHivi Mgunda ni kocha wa timu gani.
SahihiWaachie wao. Hayatuhusu. Sisi tuendelee kusajili.
SIMBA QUEENHivi Mgunda ni kocha wa timu gani.
Ungeanza kwa usajili wa kocha mkuu kwanza kabla ya wachezaji. Hii ingesaidia kujua kocha anahitaji wachezaji wa aina ipi kutokana na style yake uwanjani. Sasa hivi mnakusanya kundi la wachezaji badala ya kusajili wachezaji.Kwa hiyo kama mgunda sio kocha mkuu akija kocha akakaa miezi mitatu akaondoka basi kocha mwingine akija tuanze usajili mpya kwa kuwa na yeye atakuwa na watu wake?
Kwani shida iko wapi mpishi ukija vyakula vimejaa stoo we kazi yako kupika tu na kukaangizaWanamkusanyia wachezaji wapya kocha ajae badala ya kusajili wachezaji kutokana na philosophy ya mwalimu. Nimemsikia kocha mpya wa Singida black stars akitoa angalizo kuwa viongozi wamesajili 90% ya wachezaji bila ushauri wake.
Robertihno na Benchikha waligomba kuhusu wachezaji waliowakuta. Sasa hivi Simba wanachezaji kamali (probability) ileile ya kumkusanyia wachezaji kocha mpya ambae hawajamsajili.
Wemefeli kabla ya msimu haujaanza.
Nawashangaa mambwiga kibao waropoka kwa kukarii tu eti Simba inasajili bila uwepo wa kocha sijui huyu Juma Mgunda ni mwimba taarabu pale Simba.Hivi Mgunda ni kocha wa timu gani.
Wasiofundishika wengi wameachwa wakiongozwa na babu SaidooLakini mwisho wa siku wakija makocha aina Benchika ndiyo hao hao tena wanaotoka hadharani na kulalamika kufundisha wachezaji wasiofundishika! Kisa tu wachezaji wote amewakuta kwenye klabu.