Simba wanasajili bila kocha mkuu, kufeli kunaanzia hapo

Simba wanasajili bila kocha mkuu, kufeli kunaanzia hapo

Mchezaji / wachezaji ni mali ya club ndio maana akiuzwq club inapata hela km watakaa vzr ktk mkataba...
 
𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐫𝐢𝐩𝐨𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐮𝐥𝐢𝐨𝐩𝐢𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐰𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐊𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐜𝐡𝐞𝐳𝐚𝐣𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐣𝐮𝐢 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢? [emoji23] 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐤𝐢𝐩𝐨𝐭𝐞𝐚𝐧𝐚 𝐨𝐨𝐡 𝐥𝐢𝐠𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐡𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢
Robertihno na Bemchikha walishindwa kuwatumia wachezaji waliowakuta kwani riporti haikuwepo?
 
Hii ni maajabu na sio mara ya kwanza kufanya hivi, ni kawaida ya makocha kuwa na list ya wachezaji wanaotaka huduma zao ili wafiti kwenye mifumo yake na kupata matokeo mazuri. Msimu ukianza wakipuyanga atasema hakupewa nafasi ya kuchagua wachezaji wake.
 
Huwezi kumsajilia wachezaji kocha, mtasumbuana sana kwenye matokeo. Unamtumia Mgunda na Matola kwenye usajili kisha timu unamkabidhi mzungu aifundishe!!! Umefeli kabla ya ligi kuchezwa.
Wameshamsajili nani?
 
Wachezaji wote wa yanga aliowatumia gamond kubeba ubingwa wa NBC aliwasajili yeye?

Hapa ishu ni uongozi kuwa na umoja na kusajili wachezaji wenye ubora kulingana na ripoti ya kocha aliyepita.

Wakati Yanga inawasajili hakina Bangala , mayele, Djuma n.k yule aliyekuwa kocha wenu aliyehamia far rabat alikuwepo? Mbona timu ilifanya vizuri na ikabeba ubingwa kwa ripoti ya kocha aliyepita?
Kwa hio mna wa copy Yanga?
 
Labda tunaendelea na Guadiola Mnene, tukibadili gia angani tutaendelea na kilio tu
 
Hii ni maajabu na sio mara ya kwanza kufanya hivi, ni kawaida ya makocha kuwa na list ya wachezaji wanaotaka huduma zao ili wafiti kwenye mifumo yake na kupata matokeo mazuri. Msimu ukianza wakipuyanga atasema hakupewa nafasi ya kuchagua wachezaji wake.
Simba wasipoendelea na akina Mgunda wanaofanya usajili wataula wa chuya.
 
Hii ni maajabu na sio mara ya kwanza kufanya hivi, ni kawaida ya makocha kuwa na list ya wachezaji wanaotaka huduma zao ili wafiti kwenye mifumo yake na kupata matokeo mazuri. Msimu ukianza wakipuyanga atasema hakupewa nafasi ya kuchagua wachezaji wake.
Simba wasipoendelea na akina Mgunda wanaofanya usajili wataula wa chuya
Msimu uliopita si ndio huwa wa mgunda na matola? Sasa hapa nani afiche ujinga? Au msimu huu ulioisha simba alimaliza na kocha gani?
Sisi ni whistle blowers TU, kazi ni kwao.
 
Kusema ukweli Simba kuna mahala tunapakosea sana mpaka hatujui nini tufanye nini tuache, kipindi cha raha kimeisha sasa ni maumivu kwa kila uchao.
Watakuja na zile story za "Ngoma kaibwa airport, Onana ni MVP, nk). Binafsi naona Simba ikienda kupata shida ileile na makocha wao wajao; fukuzafukuza ya makocha itaendelea kama wataendelea kuwasajilia wachezaji.
 
Back
Top Bottom