Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mchezaji / wachezaji ni mali ya club ndio maana akiuzwq club inapata hela km watakaa vzr ktk mkataba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robertihno na Bemchikha walishindwa kuwatumia wachezaji waliowakuta kwani riporti haikuwepo?𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐫𝐢𝐩𝐨𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐮𝐥𝐢𝐨𝐩𝐢𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐰𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐊𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐜𝐡𝐞𝐳𝐚𝐣𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐣𝐮𝐢 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢? [emoji23] 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐤𝐢𝐩𝐨𝐭𝐞𝐚𝐧𝐚 𝐨𝐨𝐡 𝐥𝐢𝐠𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐡𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢
Wameshamsajili nani?Huwezi kumsajilia wachezaji kocha, mtasumbuana sana kwenye matokeo. Unamtumia Mgunda na Matola kwenye usajili kisha timu unamkabidhi mzungu aifundishe!!! Umefeli kabla ya ligi kuchezwa.
Kwa hio mna wa copy Yanga?Wachezaji wote wa yanga aliowatumia gamond kubeba ubingwa wa NBC aliwasajili yeye?
Hapa ishu ni uongozi kuwa na umoja na kusajili wachezaji wenye ubora kulingana na ripoti ya kocha aliyepita.
Wakati Yanga inawasajili hakina Bangala , mayele, Djuma n.k yule aliyekuwa kocha wenu aliyehamia far rabat alikuwepo? Mbona timu ilifanya vizuri na ikabeba ubingwa kwa ripoti ya kocha aliyepita?
Kama mnalijua hilo kwanini mna muandama Mangungu?Kocha ana impact ndogo sana kwenye matokeo ya Yanga.
Hapo ni siasa rushwa na uchawi.
Kagoma na LawiWameshamsajili nani?
Kocha hasajili lakini mchezaji husajiliwa kwa matakwa / mahitaji ya kocha nyie jichanganyeni tu halafu mkipigwa mkono mnalia na waamuzi ila adui yako muombee njaaHawaelewi mambo ya mpira kazi kelele.
Hata kama kocha akiwepo, kocha hasajali mchezaji.
Wamefanya usajili wa wachezi wawili ambao ni OKW BOBAN SUNZU pamoja na KalpanaWamemsajili mchezaji ghn?
🤣 🤣 🤣 🤣 tutaleta mapinduzi makubwa kunako dimba la benjamin Mkapa...Wamefanya usajili wa wachezi wawili ambao ni OKW BOBAN SUNZU pamoja na Kalpana
Simba wasipoendelea na akina Mgunda wanaofanya usajili wataula wa chuya.Hii ni maajabu na sio mara ya kwanza kufanya hivi, ni kawaida ya makocha kuwa na list ya wachezaji wanaotaka huduma zao ili wafiti kwenye mifumo yake na kupata matokeo mazuri. Msimu ukianza wakipuyanga atasema hakupewa nafasi ya kuchagua wachezaji wake.
Simba wasipoendelea na akina Mgunda wanaofanya usajili wataula wa chuyaHii ni maajabu na sio mara ya kwanza kufanya hivi, ni kawaida ya makocha kuwa na list ya wachezaji wanaotaka huduma zao ili wafiti kwenye mifumo yake na kupata matokeo mazuri. Msimu ukianza wakipuyanga atasema hakupewa nafasi ya kuchagua wachezaji wake.
Sisi ni whistle blowers TU, kazi ni kwao.Msimu uliopita si ndio huwa wa mgunda na matola? Sasa hapa nani afiche ujinga? Au msimu huu ulioisha simba alimaliza na kocha gani?
Watakuja na zile story za "Ngoma kaibwa airport, Onana ni MVP, nk). Binafsi naona Simba ikienda kupata shida ileile na makocha wao wajao; fukuzafukuza ya makocha itaendelea kama wataendelea kuwasajilia wachezaji.Kusema ukweli Simba kuna mahala tunapakosea sana mpaka hatujui nini tufanye nini tuache, kipindi cha raha kimeisha sasa ni maumivu kwa kila uchao.