Simba wanasajili bila kocha mkuu, kufeli kunaanzia hapo

Simba wanasajili bila kocha mkuu, kufeli kunaanzia hapo

Tatizo la Simba SC ni Mo anaipeleka Simba SC hatua 1 mbele na kuirudisha hatua 4 nyuma, lipo jambo kuhusu yeye haliko sawa kama kiu yake kuhusu Simba SC alivyoikusudia moyoni hivyo kwa sasa anaangalia zaidi Kuhusu yeye, Tuombe uzima kuna siku huko mbeleni ataropoka
 
Tatizo la Simba SC ni Mo anaipeleka Simba SC hatua 1 mbele na kuirudisha hatua 4 nyuma, lipo jambo kuhusu yeye haliko sawa kama kiu yake kuhusu Simba SC alivyoikusudia moyoni hivyo kwa sasa anaangalia zaidi Kuhusu yeye, Tuombe uzima kuna siku huko mbeleni ataropoka
Mtifuano ndani ya Simba ni mkubwa. Mo kumbe hajaweka 20b wajumbe wa bodi walihabarisha umma, lakini viongozi walikuwa wanawadanganya wanachama wao isipokuwa Kigwangala TU.
 
Kwani GAMONDI ni yy alisajili kikosi cha YANGA?





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Huwezi kumsajilia wachezaji kocha, mtasumbuana sana kwenye matokeo. Unamtumia Mgunda na Matola kwenye usajili kisha timu unamkabidhi mzungu aifundishe!!! Umefeli kabla ya ligi kuchezwa.
Kwa hiyo kocha mzungu atoke Ulaya aje asajili wachezaji Simba anawajua?
 
Ni muda pekee ndiyo utakaotuambia kama wamefanikiwa au wamefeli.
 
Huwezi kumsajilia wachezaji kocha, mtasumbuana sana kwenye matokeo. Unamtumia Mgunda na Matola kwenye usajili kisha timu unamkabidhi mzungu aifundishe!!! Umefeli kabla ya ligi kuchezwa.
Achana nao hao mambumbu hawajielewi ngoja ligi ianze halafu waanze kulala timu zikishinda kwamba zinahonga
 
Achana nao hao mambumbu hawajielewi ngoja ligi ianze halafu waanze kulala timu zikishinda kwamba zinahonga
Kocha atapata mlango mpana wa kujitetea pale ambapo 100% ya wachezaji hakuhusika Na ujio wao kikosini.
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Chama ameanza kusajiliwa na utopolo hata gamondi haijui Tanzania.
Ahaa. Kumbe Chama aliichezea Yanga kabla ya Gamond !
Ndiyo maana kolo yupo nafasi ya 3 na yupo kombe la losers.
Sasa nimeelewa.
 
Chama ameanza kusajiliwa na utopolo hata gamondi haijui Tanzania.
subirini tu wajemeni, kama hujui nyeti ya kuku ipo wapi subiri upepo uje. wacha kipenga kipulizwe
 
Ahaa. Kumbe Chama aliichezea Yanga kabla ya Gamond !
Ndiyo maana kolo yupo nafasi ya 3 na yupo kombe la losers.
Sasa nimeelewa.
Panua akili kidogo tu kama unavoruhusu mwiko ukae nyuma. Ni hivi, chama sio chaguo la gamondi kimfumo na kifalsafa, kwanza gamondi alishawahi sema chama yupo slow mno kwake.

Kingine ukiwa kocha haimaanishi mchezaji atakayesajiliwa kipindi chako basi ni chaguo la kocha. Chama ni kipenzi cha hersi tangu akiwa sio kiongozi, na amehangaika kutaka kumsajiri misimu mi4 iliyopita kipindi hicho gamondi anaijua Simba tu kwa hapa tz
 
Panua akili kidogo tu kama unavoruhusu mwiko ukae nyuma. Ni hivi, chama sio chaguo la gamondi kimfumo na kifalsafa, kwanza gamondi alishawahi sema chama yupo slow mno kwake.

Kingine ukiwa kocha haimaanishi mchezaji atakayesajiliwa kipindi chako basi ni chaguo la kocha. Chama ni kipenzi cha hersi tangu akiwa sio kiongozi, na amehangaika kutaka kumsajiri misimu mi4 iliyopita kipindi hicho gamondi anaijua Simba tu kwa hapa tz
kama una akili nzuri basi una kazi ngumu sana ya kuwaaminisha watu kuwa chama sio chaguo la gamondi; lakini kama huna akili nzuri basi itakuwa ni rahisi sana kwako kuwaaminisha watu kuwa chama sio chaguo la gamondi.
 
𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐫𝐢𝐩𝐨𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐰𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐮𝐥𝐢𝐨𝐩𝐢𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐧𝐚𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐦𝐰𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐊𝐨𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐜𝐡𝐞𝐳𝐚𝐣𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐚𝐣𝐮𝐢 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢? [emoji23] 𝐡𝐚𝐥𝐚𝐟𝐮 𝐦𝐤𝐢𝐩𝐨𝐭𝐞𝐚𝐧𝐚 𝐨𝐨𝐡 𝐥𝐢𝐠𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐡𝐚𝐬𝐡𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢
Kwahiyo kila kocha anaekuja aje na wachezaji wake??mpira wawapi huo, dirisha la usajili halimsubirii kocha. Tumesajili vitasa yeye aje atajua anawatumiaje akishindwa achimbe
 
Panua akili kidogo tu kama unavoruhusu mwiko ukae nyuma. Ni hivi, chama sio chaguo la gamondi kimfumo na kifalsafa, kwanza gamondi alishawahi sema chama yupo slow mno kwake.

Kingine ukiwa kocha haimaanishi mchezaji atakayesajiliwa kipindi chako basi ni chaguo la kocha. Chama ni kipenzi cha hersi tangu akiwa sio kiongozi, na amehangaika kutaka kumsajiri misimu mi4 iliyopita kipindi hicho gamondi anaijua Simba tu kwa hapa tz
Wahi Milembe. Hujachelewa sana. Unaweza kupona.
 
Back
Top Bottom