Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..kwa simba hii .Gamondi atawafunga hata warudiane leoDharau ya kiwango cha IBM😂
Na uzuri mpira ni mchezo wa wazi na kocha wa Mamelodi alikiri mbele ya waandishi wa habari kuwa alizidiwa mbinu na Yanga kwa mechi zote mbili ndio maana alishindwa kupata goli. Sasa wewe na kocha wa Mamelodi nani anayejua mpira? Au unadhani ku possess mpira ndio kumzidi mpinzani? Mamelodi alizidi possession ila ndio aliyeongozwa kwa kushambuliwa Yanga akawa na on target nyingi kuliko wao kwenye firsts leg.ingekuwa aibu kama Gamondi angekubali kuwa Yanga ilizidiwa. Hata alipopaki bus nyumbani dhidi ya Mamelodi, ingekuwa aibu kwake kusema kwamba amezidiwa, badala yake akasema ni mbinu ya mchezo. So mimi sijashangaa akisema hayo
Hili swali inabidi umuulize Gamonditakwimu ni hizi hapa, niambie ni angle ipi Simba iliiziddi Yanga hadi ufikie kusema Yanga alizidiwa na Simba
Kwani Gamondi ndiye aliyesema Yanga imezidiwa? Nimeku quote wewe kauli yakoHili swali inabidi umuulize Gamondi
Bado anapumua mkuu piga kichwa hicho😂😂Kwani Gamondi ndiye aliyesema Yanga imezidiwa? Nimeku quote wewe kauli yako
Sasa mbona umeweka picha za Manara na Jonas Mkude, si wapo Yanga hao?
Kabiiisa lo wajipange upya!
Huyu hajui mpira wa bongo hii Simba ndo itakuja kumfukuzisha kazi huyu gedereIla huyu jamaa ana dharau sana[emoji23][emoji23]