Simba wanavyohangaika na goli la Sakho

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Jaman hili ni goli tuuuuu na haliondoi ukweli kuwa mmekuwa na poor performance in 2021/22 season. Aidha, Haliondoi the fact kwamba mmepigwa na Prisons, Mbeya city na Kagera kwenye ligi.

Pia, haliondoi ukweli kwamba mmepigwa na Yanga mara mbili na kunyang'anywa vikombe (Sakho akiwa ndani).

My advice: shughulikeni na tatizo la kufanya vibaya kwenye AWAY GAMES (mechi za Dar mmefanya vzr kuliko Yanga). Vinginevyo mtaendelea kushangilia goli bora hadi mwakani
 
Ujinga hauwezi kuwaondoka ninyi....

Mchezaji wa Simba kachukua Tuzo ya Goli bora Afrika... Alafu wewe unakuja hapa unaleta ngonjera....

Nina mashaka na weledi wako kisoka.....

Ficha ujinga wako!
Mbona wewe umeshindwa kuficha upumbavu wako
 
Ujinga hauwezi kuwaondoka ninyi....

Mchezaji wa Simba kachukua Tuzo ya Goli bora Afrika... Alafu wewe unakuja hapa unaleta ngonjera....

Nina mashaka na weledi wako kisoka.....

Ficha ujinga wako!
Ngoja tusubir msimu ujao afunge tena
 
Wewe mgonjwa wa zika tuondolee utaahira wako hapa. Sasa hapa si ndiyo wewe unaleta habari za hilo goli, nyani wa pori la Utopolo mumeumia sana,na bado safari hii mpaka mtamfukuza somji somji na Msomali wake. Dalili ya mvua ni mawingu,mumeshapanic mapemaaa! Eti mkamuone Rais Samia kwa ajili ya bangi za takadini wenu! Are you crazy?
 
Ungemaliza elimu ya msingi usingeandika haya
 
Wewe uto yakuhusu nini? Au ndo wa-washwax2
 
Yangaah wangekuwa chama cha siasa sijui ingekuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…