Simba waombe msamaha wameaibisha taifa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Makolo wameinvest mpira wa mdomoni ( wakizamani) huku wakimtegemea Ahmed ally Kwa propaganda ili kushinda.... mfano...kawajaza mashabiki kuwa waanze kuhesabu magoli ....Baada ya kufika 3 [emoji23][emoji23]......

Baada ya kukandwa...kasema Simba ni timu ya maajabu
Huku wakisahau kuwa mpira ni uwekezaji ya kutafuta quality players, na vipengele vyake ....Simba imeaibisha taifa Kwa kufungwa home by ground jambo ambalo ni fedheha sana

Nb makolo wajue ...soka halichezwi mdomoni[emoji23][emoji23]
 
We jamaa acha kuwa kwa kutumia kalio Simba ina sifuri, petro ina sifuri tp mazembe ina sifuri.......

Yaani hapo ukiondoa Al ahly pekee hao wengine wote wapo sawa na Simba.

Au unataka kuwaaminisha 🐸🐸hawana sifuri?

🐸🐸Kichwa panzi wahed mkubwa 😄
 
Kwamba walevi nao wapo na quality ya kupepesuka kwenye pitch 😂😂😂

Dogo nikwambie ukweli... Hakuna mchezaji wa 🐸🐸atakayeweza kumfunga Williams, labda 🐸🐸walete kikosi kipya Ila sio hicho kikosi cha walevi wanao subiri kupiga simu huku hawana bando 😂😂😂
Quality ya Yanga itawatesa mpaka wote akili ziwakae Sawa.
 
Nyie mechi yenu mmeshinda? Au ndiko kurefusha tu madomo kwa mambo yasiyowahusu? Subir mkakeketwe huko bondeni ndipo mtajua hamjui.
Hasira za Nini Mkuu [emoji23][emoji23] ebu mpelekee hasira zako Al ahly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…