Quality ya Yanga itawatesa mpaka wote akili ziwakae Sawa.Nyie mechi yenu mmeshinda? Au ndiko kurefusha tu madomo kwa mambo yasiyowahusu? Subir mkakeketwe huko bondeni ndipo mtajua hamjui.
First leg timu zoote zimesuluhu, kasoro vibonde mwakarobo.Nyie mechi yenu mmeshinda? Au ndiko kurefusha tu madomo kwa mambo yasiyowahusu? Subir mkakeketwe huko bondeni ndipo mtajua hamjui.
We jamaa acha kuwa kwa kutumia kalio Simba ina sifuri, petro ina sifuri tp mazembe ina sifuri.......Makolo wameinvest mpira wa mdomoni ( wakizamani) huku wakimtegemea Ahmed ally Kwa propaganda ili kushinda.... mfano...kawajaza mashabiki kuwa waanze kuhesabu magoli ....Baada ya kufika 3 [emoji23][emoji23]...... Baada ya kukandwa...kasema Simba ni timu ya maajabu
Huku wakisahau kuwa mpira ni uwekezaji ya kutafuta quality players, na vipengele vyake ....Simba imeaibisha taifa Kwa kufungwa home by ground jambo ambalo ni fedheha sana
Nb makolo wajue ...soka halichezwi mdomoni[emoji23][emoji23]View attachment 2950045
Quality ya Yanga itawatesa mpaka wote akili ziwakae Sawa.
Sawa Mzee saidooKwamba walevi nao wapo na quality ya kupepesuka kwenye pitch 😂😂😂
Dogo nikwambie ukweli... Hakuna mchezaji wa 🐸🐸atakayeweza kumfunga Williams, labda 🐸🐸walete kikosi kipya Ila sio hicho kikosi cha walevi wanao subiri kupiga simu huku hawana bando 😂😂😂
First leg timu zoote zimesuluhu, kasoro vibonde mwakarobo.
Poa amphibianSawa Mzee saidoo
NYie mshakeketwa visimi, na kabla kidonda hakijapona mnarudi kukeketwa labia majora.. kaz mnayo sheikhNyie mechi yenu mmeshinda? Au ndiko kurefusha tu madomo kwa mambo yasiyowahusu? Subir mkakeketwe huko bondeni ndipo mtajua hamjui.
Ebu tupe tafsiri kidogo ya hii picha mkuu [emoji23]Naunga mkono hoja
View attachment 2950059
Hahaaaaa, nimeielewa hii picha.Naunga mkono hoja
View attachment 2950059