Simba wapewa 3% za kubeba ubingwa CAFCL

Uzi huu ni maalum kwa washabiki wa timu nane tu zinazocheza CAF Champions League Quarter Finals 2023 tu. Kama haupo miongoni mwa washabiki wa timu hizo, kachangie kwenye uzi mwingine
 
Uzi huu ni maalum kwa washabiki wa timu nane tu zinazocheza CAF Champions League Quarter Finals 2023 tu. Kama haupo miongoni mwa washabiki wa timu hizo, kachangie kwenye uzi mwingine
Ahahahaaa

Ungeweka angalizo pale juu wakati mleta mada anabandika uzi wake
 
uhurumoja

"Uzalendo hauingii kucheza uwanjani "

☝️☝️☝️☝️


Hapo juu umeongea madini matupu
 
Utopolo wao wanapewa asilimia ngapi kuchukua ubingwa wa CAFCL????


elewa swali usikurupuke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utopolo wao wanapewa asilimia ngapi kuchukua ubingwa wa CAFCL????


elewa swali usikurupuke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naleta taarifa.....mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…