Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.

Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo huko Kaole au Kigoma Ujiji.

Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda

Mtani amepanda bodaboda 😄

Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨

Hakuna timu itacheza mashindano ya akina mama iwe mjini, itapatakana maporini tu, Mtani yupo Jiji la Constantine Algeria analiwa na mbu na manyani

Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA

Yanga Bingwa
 
Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.

Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo huko Kaole au Kigoma Ujiji.

Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda

Mtani amepanda bodaboda 😄

Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨

Hakuna timu itacheza mashindano ya akina mama iwe mjini, itapatakana maporini tu, Mtani yupo Jiji la Constantine Algeria analiwa na mbu na manyani

Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA

Yanga Bingwa
Mashindano ya Wamama.... aka Kombe la Wamama watapigwa kama ngoma Losers Cup.
 
IMG-20241206-WA0016.jpg
IMG-20241206-WA0016.jpg
 
Kwani shida zetu? Shida zao hao wanye timu iliyopo mjini huko...
Halafu kwenu huko Ngara ni mjini?
Mashindano yenu hayo Bora mngekuja kucheza na Ngara veterans
 
Back
Top Bottom