Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
Huwa unatoka pangoni Simba akishinda
Kolo ww
 
Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.

Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo huko Kaole au Kigoma Ujiji.

Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda

Mtani amepanda bodaboda 😄

Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨

Hakuna timu itacheza mashindano ya akina mama iwe mjini, itapatakana maporini tu, Mtani yupo Jiji la Constantine Algeria analiwa na mbu na manyani

Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA

Yanga Bingwa
Dar Es Salaam ni mji mkuu wa Tanzania?
Tangia siku gani mkuu?
 
Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.
Ukiwa chura ni chura tu, mvua ikinyesha ukatoka matopeni unaanza kushangilia na kutukana matope. Kweli wewe Utopolo naona sindano zinawatia uchizi

Juzijuzi tu hapa mmetoka kujisifu mmefika fainali, kweli MANYANI hayaoni kundu lake.
Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Siku hizi kuna JIJI lipo porini. Yaani jiji kama Arusha hivi lipo porini.

Kweli Sindano fc mna matatizo, nilidhani ni wachezaji tu kumbe hadi mashabiki. Mnatufanya mashabiki wa mpira Tanzania tuonekane wapumbavv kumbe kuna wachoma sindano wachache.
Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda

Mtani amepanda bodaboda 😄
Wewe utakuwa dereva wa boda we chizii maarifa
Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨
Subirini kichapo cha pili mfululizo. Unadhani CL ni ya wachoma Sindano. Mtapigwa matobo mpaka mkome Utopolo nyie.
Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA
Kama ni timu kubwa kawaulize Tabora iliyoungana na Al Hilal mdumange watakwambia timu kubwa na ipi. Kesho ndo utajua kubwa na ndogo. Hamkawii kumlaumu Diara. Ila msijali mwakani tutawapa Manula atawasaidia, si mmebaki kusubiria wachezaji wanaotemwa Simba mnadaka. Lipeni pesa za Okra lakini mfinguliwe usajili ili mumchukue Manula next year
 
Mbona jamaa yuko sahihi mji mkuu ni huko Dasalam
Jamaa hebu kuwa siriaz kidogo....mji mkuu wa Tanzania ni Dodoma bhana. Dar es Salaam ni mji maarufu zaidi na kitovu cha biashara.
 
Ukiwa chura ni chura tu, mvua ikinyesha ukatoka matopeni unaanza kushangilia na kutukana matope. Kweli wewe Utopolo naona sindano zinawatia uchizi

Juzijuzi tu hapa mmetoka kujisifu mmefika fainali, kweli MANYANI hayaoni kundu lake.

Siku hizi kuna JIJI lipo porini. Yaani jiji kama Arusha hivi lipo porini.

Kweli Sindano fc mna matatizo, nilidhani ni wachezaji tu kumbe hadi mashabiki. Mnatufanya mashabiki wa mpira Tanzania tuonekane wapumbavv kumbe kuna wachoma sindano wachache.

Wewe utakuwa dereva wa boda we chizii maarifa

Subirini kichapo cha pili mfululizo. Unadhani CL ni ya wachoma Sindano. Mtapigwa matobo mpaka mkome Utopolo nyie.

Kama ni timu kubwa kawaulize Tabora iliyoungana na Al Hilal mdumange watakwambia timu kubwa na ipi. Kesho ndo utajua kubwa na ndogo. Hamkawii kumlaumu Diara. Ila msijali mwakani tutawapa Manula atawasaidia, si mmebaki kusubiria wachezaji wanaotemwa Simba mnadaka. Lipeni pesa za Okra lakini mfinguliwe usajili ili mumchukue Manula next year
😄😆😅
Mbumbumbu fc
Akina mama fc
Mnatia mapanga sasa
 
Back
Top Bottom