Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni.

Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire
Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo huko Kaole au Kigoma Ujiji.

Kufika Constantine huko hata ma bus hayafiki mpaka bodaboda

Mtani amepanda bodaboda 😄

Yanga ipo katika Jiji la Algiers ambao ndo mji mkuu hapo Algeria yaani Kwa Hapa Tanzania ni kama Dar es salaam, wapo hotel ya five star ✨

Hakuna timu itacheza mashindano ya akina mama iwe mjini, itapatakana maporini tu, Mtani yupo Jiji la Constantine Algeria analiwa na mbu na manyani

Yanga ndo team inacheza mashindano makubwa Africa na zinacheza timu kubwa tu mtani yeye yupo UMISETA

Yanga Bingwa
Kuna watu walicheza fainali ya hilo kombe la kina mama ila wenyewe wanatamba hadi sasa!
 
Bora kucheza rede kuliko kujisifu kufika fainali dhidi ya wauza papuchi wenzako!
Mbumbumbu hamwezagi kuficha hali yenu ya afya ya akili, mtajitokeza tu
 
Kijiji anachosema ngara23 kwa Algeria ni cha 3 kwa wingi wa watu.

Muonekano wake huu hapaki
Screenshot_20241207-115050.png

Elimu
Elimu
Elimu
 
Back
Top Bottom