Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Ndio,S.S.C Wapo Zambia ni Watanzania Hawa, wakiwa Wanawakilisha Bendera yetu ya Tanzania. Kama Watanzania hatuna budi kuweka tofauti zetu pembeni. Dua na Sala Zote Kwa Simba Sports Club ifuzu Hatua ya Makundi...huwezi Jua huko mbele Tunaweza Ku Retain Zile Nafasi zetu 4 CAF!

Hivyo Taifa Letu Likawa Miongoni Mwa Mataifa Yanayoogopwa kwa Soka Kupitia Mlango huu clubs.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Simba.
 
Wapo WaTz wengi wanaiombea S.S.C ipite. Iwapo kama Huwezi Kuiombea basi japo kaa Kimya.
Hii ni Vita Ya Kimataifa, Faida au hasara ni Kwa Taifa Zima.
Niambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?

Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio,S.S.C Wapo Zambia ni Watanzania Hawa, wakiwa Wanawakilisha Bendera Yetu Ya Tanzania. Kama Watanzania hatuna budi Kuweka Tofauti zetu Pembeni. Dua na Sala Zote Kwa Simba Sports Club ifuzu Hatua ya Makundi...huwezi Jua huko mbele Tunaweza Ku Retain Zile Nafasi zetu 4 CAF!
Hivyo Taifa Letu Likawa Miongoni Mwa Mataifa Yanayoogopwa kwa Soka Kupitia Mlango huu clubs..!
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Simba...!

Tunaombea wagonjwa tu. Nyie Simba ni Kocha mzuri, wachezaji wazuri na maandalizi ndo vitawapa ushindi
 
Niambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?

Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]8
Sasa mkuu Tanzania Ikipewa nafasi 4 tena za Kuingiza timu Michuano Ya CAF mwakani atayefaidika ni Taifa Lote!

We fikiria Biashara Imetoka huuuko sijui Mara na Yenyewe ilidondokewa na Bahati Ya Kupanda ndege Mwaka huu, Isingekuwa Uchanga Wao nao Kwenye hatua hii Wangekuwepo pia.

Kwa hiyo Relax....! Ukiweza piga Dua, Ukishindwa nyamaza Kimya.
 
Sasa mkuu Tanzania Ikipewa nafasi 4 tena za Kuingiza timu Michuano Ya CAF mwakani atayefaidika ni Taifa Lote!
We fikiria Biashara Imetoka huuuko sijui Mara na Yenyewe ilidondokewa na Bahati Ya Kupanda ndege Mwaka huu, Isingekuwa Uchanga Wao nao Kwenye hatua hii Wangekuwepo pia...!
Kwa hiyo Relax....! Ukiweza piga Dua, Ukishindwa nyamaza Kimya.
Acha kila timu iende kwa uwezo na nafasi yake kwenye ligi.
Hizi kauli za"tumewabeba"ndo hatutaki kuzisikia.

Simba wao wapambane wasonge mbele,wakufungwa poa tu.

Yanga nae apambane,akishindwa poa tu.

Sionagi mantiki ya kupeleka timu 4 halafu nyingine hazifi hata round ya pili.
Timu ipambane,mpira na dua wapi na wapi!!
 
Back
Top Bottom