Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mbona ungekuwa umeshaanzisha kanisa.Weye tulia mabingwa waoneshe soka.Wanapona sana!!![emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ungekuwa umeshaanzisha kanisa.Weye tulia mabingwa waoneshe soka.Wanapona sana!!![emoji23][emoji23]
Halafu,tukianza kufanya sherehe ya ushindi msije kudowea komoni yetu na kambale wa kuchoma.Simba ikabebwe na nyani wao. Ibebeni huko huko mlete majawabu sahihi
Toka shetani, nakemea roho ya pepo UTOPOLO imekujaa. Go back to the sender demon UTOPOLO.Simba ikabebwe na nyani wao. Ibebeni huko huko mlete majawabu sahihi
Walokole wazinzi hamnaga nguvu, hata wala sihaanguka, je shetani langu latokaje?Toka shetani, nakemea roho ya pepo UTOPOLO imekujaa. Go back to the sender demon UTOPOLO.
Ya Simba hayatoki kirahisi hadi tufunge 27daysLeo siku ya ibada tunatoa mapepo asubuhi subuhi.
Mpaka hapa tayari umeshahangaika. Moto wa malaika Michael umeanza kuchoma pepo UTOPOLO.Walokole wazinzi hamnaga nguvu, hata wala sihaanguka, je shetani langu latokaje?
Unambishia mtumishi wa Mungu!? Unataka laana wewe!!!🤣🤣🤣Ya Simba hayatoki kirahisi hadi tufunge 27days
Mechi hii ya simba vs Red arrows inachezwa saa ngapi?Ndio,S.S.C Wapo Zambia ni Watanzania Hawa, wakiwa Wanawakilisha Bendera Yetu Ya Tanzania. Kama Watanzania hatuna budi Kuweka Tofauti zetu Pembeni. Dua na Sala Zote Kwa Simba Sports Club ifuzu Hatua ya Makundi...huwezi Jua huko mbele Tunaweza Ku Retain Zile Nafasi zetu 4 CAF!
Hivyo Taifa Letu Likawa Miongoni Mwa Mataifa Yanayoogopwa kwa Soka Kupitia Mlango huu clubs..!
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Simba...!
Laana kutoka kwa nani? Hiyo boyfriend wa mune wa mtu????Unambishia mtumishi wa Mungu!? Unataka laana wewe!!!🤣🤣🤣
Ndo niko kwenye hatua za mwisho mkuu[emoji23][emoji23]Mbona ungekuwa umeshaanzisha kanisa.Weye tulia mabingwa waoneshe soka.
Hilo kanisa chondechonde usiwalishe bangi tu ukiwaambia ni chakula cha Bwana.Ndo niko kwenye hatua za mwisho mkuu[emoji23][emoji23]
Unataka nikumwagie laana ya milele!?Laana kutoka kwa nani? Hiyo boyfriend wa mune wa mtu????
Mungu wabariki Simba kwa ajili ya furaha ya Wanamsimbazi.Ndio,S.S.C Wapo Zambia ni Watanzania Hawa, wakiwa Wanawakilisha Bendera Yetu Ya Tanzania. Kama Watanzania hatuna budi Kuweka Tofauti zetu Pembeni. Dua na Sala Zote Kwa Simba Sports Club ifuzu Hatua ya Makundi...huwezi Jua huko mbele Tunaweza Ku Retain Zile Nafasi zetu 4 CAF!
Hivyo Taifa Letu Likawa Miongoni Mwa Mataifa Yanayoogopwa kwa Soka Kupitia Mlango huu clubs..!
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Simba...!
Hahah.....Wanamsimbazi Tena! Simba ikitinga Makundi Watanzania ndio tutakuwa tumetinga Makundi.Mungu wabariki Simba kwa ajili ya furaha ya Wanamsimbazi.
sasa mkuu wakishonwa 8 utanufaika nini na hao watu wako wa SANGARINI?Niambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?
Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]