kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Uyanga unakuhenyeshaHatuna huo muda wa kuchezea..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyanga unakuhenyeshaHatuna huo muda wa kuchezea..
[emoji23][emoji23]Hilo kanisa chondechonde usiwalishe bangi tu ukiwaambia ni chakula cha Bwana.
Yanga wametoa biln 2.1 kuidhamini ligu kuu ya NBC,sasa uaneni huko.
Tutapata raha mioyoni mwetu.sasa mkuu wakishonwa 8 utanufaika nini na hao watu wako wa SANGARINI?
Mtulize kwanza.mkeo upate amani ndani ya Moyo wako... Stress zako za ndoa usituletee hapaTutapata raha mioyoni mwetu.
Nchi itatulia.
Ndoa zitatulia.
Uzinzi utapungua na
Taifa litapona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa msukuleNaunga mkono hoja,hatuna huo muda mchafu.
Potelea mbali hatakama akili yangu ni hajakubwa tupu.
Makolo wafungwe.
Duh mzigo umeshuka kiasi hiki. Msimu uliopita zilikuwa zinatamkwa bilion bilioni ila leo hii zinatamkwa milioni milioni.
Tumekusikia KabwiliYanga wametoa biln 2.1 kuidhamini ligu kuu ya NBC,sasa uaneni huko.
Hebu mwambie huyo kabwili atuoneshe tena tiGO yake.
Nimeungana na wewe kusema kwamba hatuna muda huo wa kuishabikia timu ya Simba. Kadhalika napenda kuongezea kwamba naomba wafungwe mabao 5 ili akili ziwakae sawa.Hatuna huo muda wa kuchezea..
Usiidhurumu nafsi yako kwa kujifanya hupendi mafaniko ya simbaHatuna huo muda wa kuchezea..
Kama kweli unaichukia simba kwa kiwango hicho basi beti kwa matokeo hayo afu weka hapa huo mkeka tuuoneHata mimi sina huo upumbavu apigwe 4 na tarehe 11 amaliziwe 3 atutolee upumbavu wake
Ngoja tuone vipaja vyake tu kwa kuzingatia maadiliHebu mwambie huyo kabwili atuoneshe tena tiGO yake.
kwani waliposema tyson bondia wa dunia ulitaka mpaka aje ampige babu yako huko simiyu?Sasa kwanini mseme watanzania badala muombe nyinyi kwanini mtujumlishe wote?
Kabwili kama Kabwili.Ngoja tuone vipaja vyake tu kwa kuzingatia maadiliView attachment 2033646View attachment 2033647
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Uzuri ni kwamba simba ni club ya soka sio kamati ya kanisa kwamba ihitaji maombi ili ishindeHata mimi sina huo muda.
Niache kuombea wagonjwa niombee Makolo!!!
Never never and never again.
Inategemea ana elimu gani ya utashi na upambanuzi wa mambo, kama atakuwa na ubongo wa njiwa kama wale waliodanganywa na hersi kuwa timu isipochukua ubingwa wamafte yeye wamuulize na ubingwa haijachukua na hakuna aliyethubutu kuhoji, kweli kwa hapo itakua kazi bureNiambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?
Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaunga mkono hoja ya kijinga namna hiyoNaunga mkono hoja,hatuna huo muda mchafu.
Potelea mbali hatakama akili yangu ni hajakubwa tupu.
Makolo wafungwe.