Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

Sasa mkuu Tanzania Ikipewa nafasi 4 tena za Kuingiza timu Michuano Ya CAF mwakani atayefaidika ni Taifa Lote!

We fikiria Biashara Imetoka huuuko sijui Mara na Yenyewe ilidondokewa na Bahati Ya Kupanda ndege Mwaka huu, Isingekuwa Uchanga Wao nao Kwenye hatua hii Wangekuwepo pia.

Kwa hiyo Relax....! Ukiweza piga Dua, Ukishindwa nyamaza Kimya.
Vision ya kuona angle hii anaipatia wapi?
 
Acha kila timu iende kwa uwezo na nafasi yake kwenye ligi.
Hizi kauli za"tumewabeba"ndo hatutaki kuzisikia.

Simba wao wapambane wasonge mbele,wakufungwa poa tu.

Yanga nae apambane,akishindwa poa tu.

Sionagi mantiki ya kupeleka timu 4 halafu nyingine hazifi hata round ya pili.
Timu ipambane,mpira na dua wapi na wapi!!
Yanga haina uwezo wa kushiriki hayo mashindano bila kupigwa jerk na simba
 
kwani waliposema tyson bondia wa dunia ulitaka mpaka aje ampige babu yako huko simiyu?
Msitulazimishe tuwaombee hao wajinga wanaoenda kubamizwa 4 na mkeka nimeweka tayari Sina uzalendo wa kizembe zembe kwa team ya hovyo?
 
Msitulazimishe tuwaombee hao wajinga wanaoenda kubamizwa 4 na mkeka nimeweka tayari Sina uzalendo wa kizembe zembe kwa team ya hovyo?
Al ahly mwenyewe ulimshinda huo mfupa pale pale kwao alipigwa mwingi akapaki basi, sembuse hawa wa Mbeya A
 
Nikisemaga mashabiki wa yanga ni mzigo kwa taifa nashambuliwaga sana kwa kila aina ya kejeli, haya jioneeni yanayo endelea hapa.
 
Nimeungana na wewe kusema kwamba hatuna muda huo wa kuishabikia timu ya Simba. Kadhalika napenda kuongezea kwamba naomba wafungwe mabao 5 ili akili ziwakae sawa.
Sawa nyani na mbwa, kwa mujibu wa Luc Eymael
 
Mtulize kwanza.mkeo upate amani ndani ya Moyo wako... Stress zako za ndoa usituletee hapa
View attachment 2033475
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umenichekesha sana.
Hii haikua mimi Mkuu,nilimtembelea mchizi wangu mmoja ndo nikaikuta hiyo hali.
Mimi mwanamke akiniletea huo unyoko si napita na shingo aisee!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom