Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

Leo siku ya ibada tunatoa mapepo asubuhi subuhi.
 
Walokole wazinzi hamnaga nguvu, hata wala sihaanguka, je shetani langu latokaje?
Mpaka hapa tayari umeshahangaika. Moto wa malaika Michael umeanza kuchoma pepo UTOPOLO.

Naita moto makali uweze kuteketeza pepo UTOPOLO ndani yako, na hatimaye uwe mmoja wa kondoo.
 
Mechi hii ya simba vs Red arrows inachezwa saa ngapi?
 
Maombi hawachezi. Wakajitume uwanjani wacheze kwa nguvu zote na mbinu bora watapata matokeo.
 
Mungu wabariki Simba kwa ajili ya furaha ya Wanamsimbazi.
 
Ni suala la muda tu.
MZIGO UINGIE ACCOUNT YA MSIMBAZI.
JE UTO WANAVUNA NINI?
 
Niambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?

Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa mkuu wakishonwa 8 utanufaika nini na hao watu wako wa SANGARINI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…