Simba wapo Zambia kupigania Tanzania. Wote Tuungane Kuiombea

sasa mkuu wakishonwa 8 utanufaika nini na hao watu wako wa SANGARINI?
Tutapata raha mioyoni mwetu.
Nchi itatulia.
Ndoa zitatulia.
Uzinzi utapungua na
Taifa litapona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi sina huo upumbavu apigwe 4 na tarehe 11 amaliziwe 3 atutolee upumbavu wake
Kama kweli unaichukia simba kwa kiwango hicho basi beti kwa matokeo hayo afu weka hapa huo mkeka tuuone

Mnajidai mnaichukia simba afu nyuma ya pazia kumbe ndio inawapa ugali huko kwenye betting
 
Niambie mtu wa Sangarini atafaidikaje au atapata hasara gani kwa Makolo kushinda au kufungwa!?

Msitutishe. Tena ikiwezekana washonwe 8 dadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea ana elimu gani ya utashi na upambanuzi wa mambo, kama atakuwa na ubongo wa njiwa kama wale waliodanganywa na hersi kuwa timu isipochukua ubingwa wamafte yeye wamuulize na ubingwa haijachukua na hakuna aliyethubutu kuhoji, kweli kwa hapo itakua kazi bure
 
Naunga mkono hoja,hatuna huo muda mchafu.

Potelea mbali hatakama akili yangu ni hajakubwa tupu.

Makolo wafungwe.
Unaunga mkono hoja ya kijinga namna hiyo

Sa si bora huo mkono ungeutumia kuunga mboga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…