Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

Simba wasijiamini sana, wataaibika kwa Mkapa kwa sababu hizi

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Derby ya Simba na Yanga inakaribia

Najua wengisana wameichukulia upande mmoja yaan ushindi kwa Simba.

Niweke wazi Simba isijiamini sana hi mechi inaweza shangaza wengi ulimwengu wa soka

Si la kuficha upande wa kiwango watani wako juu sana sana

Ila hili lusiwayumbishe niwajulishe tu Simba na Yanga hizi mechi huchezwa nje ya uwanja

Wapowaliowahi niuliza ulijuaje, anyway dondoo ya Derby iko hivi

Mechi iko upande wa Simba kipindi cha kwanza wanayamga Wala msiiogope

kipindi cha pili Yanga itabadili muelekeo mapema sana sana

Kama Simba awatajiandaa Kabla ya mechi Basi wataenda na maji

Kama watajiweka sawa basi Drw inanukiaaa

Tena
 
Simba ni takataka tu kikundi cha wahuni hamnamo timu pale makelele tu na kujifanya wana pesa huku mo akiwapiga ameshindwa kuupa uwanja jina la timu!

Billion 20 hakuna halafu mnawamini nunueni marefa tu mchukue ubungwa fake mkija kichwa kichwa yanga inawachapa then CUF mnapigwa maana hamendi kihalali!!
 
Kama wanapigwa wewe utopolo unaumia nini?

Watupolo mnavisa sana!
Simba ni takataka tu kikundi cha wahuni hamnamo timu pale makelele tu na kujifanya wana pesa huku mo akiwapiga ameshindwa kuupa uwanja jina la timu!
 
Simba ni takataka tu kikundi cha wahuni hamnamo timu pale makelele tu na kujifanya wana pesa huku mo akiwapiga ameshindwa kuupa uwanja jina la timu!
Kundi la wahuni ni lile linakaaa bondeni ambapo wanakaa vibaka.Sisi watoto wa town ...ww jiandae kesho mwiko nyuma uzame vizuri .



Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu hii mechi Utopolo anapigwa tatu,kipindi cha kwanza Yanga anapigwa mapeema kabisa cha asubuhi,kipindi cha pili anapigwa viwili vya chuma mboga.

Anapewa kanga yake anajifuta kisha anapewa shuka afue asepe kwao.
 
Sisi utopolo tushakunywa dose zetu ya mayai uvinza
 
Wanamuelewa huyo kiumbe! Wakati Wananchi tunamuona ni mwendawazimu!!
Ukitaka kujua manara ananyoosha uto. Walimwajiri Dismas ten wakaona hafai wakamleta bumbuli wakaona hatoshi wakamuongeza na nugaz bado kuna siku jerry muro nae kaibuka lakini wapi [emoji23][emoji23] timu ina wasemaji kibao
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri,ukimaliza hilo uje ulete mada bila ushabiki...kichwa cha habari nikajua kuna points kumbe ni saaansanaaa nyingi
 
Back
Top Bottom